Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikale Kwenu?Sasa si umtajie hivyo vyuma akawachukue yeye mwenyewe
Tangia niache kuwa Hawara ya Aliyekuzaa Wewe kama Mtoto umekuwa na Chuki mno nami? Mwambie simrudii tena nimeshapata Wengine.Tukisema huyu mtu chizi hamuelewi, haya tazama mada kama hii anaweza kuandika mtu mzima kweli?
Na wewe ume amini maneno ya huyu jamaa?Usajiri ni kamari brother. Unaweza ukazunguka ukawapata ila wasilete matokeo chanya.
Hata aliyewaleta akina akpan, sawadogo na okwa hakutegemea uwezo wao kua mdogo.
Genta nina wasiwasi... ukipewa hizo bilioni nne si utaenda kuzichakatia papuchi huko brazil na mexico hebu jitathmini kwanza kabla ya kuomba mambo makubwa kama haya.. utakufaaaa 🤣 🤣Ukiwa tayari nikufanyie hii Kazi Tukuka nenda Ofisi za JamiiForums mtafute Kaka yangu na Mtani wangu mkubwa wa Kihaya JamiiForums Founder Maxence Melo mkabidhi huo Mzigo nitaukuta Kwake.
Nitaanzia Zambia kuna Chuma Kimoja nimekiona kisha nitaenda Uganda kuna Chuma nimekiona, nitaenda Egypt kuna Chuma nimekiona, nitaenda South Africa kuna Vyuma Viwili nimeviona, nitaenda Chile kuna Chuma kimoja nimekiona na nitamalizia Argentina na Brazil kuna Vyuma Viwili vya maana nimeviona.
Ukishaandaa hiyo Hela Tsh Bilioni 4 ya Kazi hiyo niwekee yangu Pembeni kama Milioni 250 ambapo hiyo Tsh Milioni 50 nitampa Mtani wangu Maxence Melo kwa Uaminifu wake Kwangu na hiyo Tsh Milioni 200 ndiyo itakuwa ya Kazi.
Mo Dewji nikiifanya hii Kazi na kama Simba SC isipotwaa Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania, ASFC na haijafika Fainali ya CAFCL nitafute unifanye Bucha ili Hasira zako zipungue.
Nitaute haraka nikufanyie Kazi hii na bahati nzuri GENTAMYCINE nimecheza Mpira na naujua Mpira hivyo nikikuchagulia Vyuma basi jua Fundi na Mtaalam Mimi wa Kutukuka nimeshajiridhisha nao
Papuchi gani ya bei yote hio?Genta nina wasiwasi... ukipewa hizo bilioni nne si utaenda kuzichakatia papuchi huko brazil na mexico hebu jitathmini kwanza kabla ya kuomba mambo makubwa kama haya.. utakufaaaa
Hata watoto huwa wanasema baba ninunulie gari kwa sababu hawajui bei ya gari.bilioni 4 haijui ni mtoto huyo.tusimjadili sana tunapoteza muda.Aisee vikao vya kahawa karume vinakudanganya,wewe billion 4 unaijua vinzuri??
Je? Hizo bilioni4 ulishawahi kuzimiliki au kuziona na macho?pili kama wewe ni mtaalamu hivo fundisha timu ya taifa ili utuaminishe hayo maneno yako. Angalizo hata yesu aliuzwa Kwa vipande vya vedhaUkiwa tayari nikufanyie hii Kazi Tukuka nenda Ofisi za JamiiForums mtafute Kaka yangu na Mtani wangu mkubwa wa Kihaya JamiiForums Founder Maxence Melo mkabidhi huo Mzigo nitaukuta Kwake.
Nitaanzia Zambia kuna Chuma Kimoja nimekiona kisha nitaenda Uganda kuna Chuma nimekiona, nitaenda Egypt kuna Chuma nimekiona, nitaenda South Africa kuna Vyuma Viwili nimeviona, nitaenda Chile kuna Chuma kimoja nimekiona na nitamalizia Argentina na Brazil kuna Vyuma Viwili vya maana nimeviona.
Ukishaandaa hiyo Hela Tsh Bilioni 4 ya Kazi hiyo niwekee yangu Pembeni kama Milioni 250 ambapo hiyo Tsh Milioni 50 nitampa Mtani wangu Maxence Melo kwa Uaminifu wake Kwangu na hiyo Tsh Milioni 200 ndiyo itakuwa ya Kazi.
Mo Dewji nikiifanya hii Kazi na kama Simba SC isipotwaa Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania, ASFC na haijafika Fainali ya CAFCL nitafute unifanye Bucha ili Hasira zako zipungue.
Nitaute haraka nikufanyie Kazi hii na bahati nzuri GENTAMYCINE nimecheza Mpira na naujua Mpira hivyo nikikuchagulia Vyuma basi jua Fundi na Mtaalam Mimi wa Kutukuka nimeshajiridhisha nao
Madhara ya Overstress.Ukiwa tayari nikufanyie hii Kazi Tukuka nenda Ofisi za JamiiForums mtafute Kaka yangu na Mtani wangu mkubwa wa Kihaya JamiiForums Founder Maxence Melo mkabidhi huo Mzigo nitaukuta Kwake.
Nitaanzia Zambia kuna Chuma Kimoja nimekiona kisha nitaenda Uganda kuna Chuma nimekiona, nitaenda Egypt kuna Chuma nimekiona, nitaenda South Africa kuna Vyuma Viwili nimeviona, nitaenda Chile kuna Chuma kimoja nimekiona na nitamalizia Argentina na Brazil kuna Vyuma Viwili vya maana nimeviona.
Ukishaandaa hiyo Hela Tsh Bilioni 4 ya Kazi hiyo niwekee yangu Pembeni kama Milioni 250 ambapo hiyo Tsh Milioni 50 nitampa Mtani wangu Maxence Melo kwa Uaminifu wake Kwangu na hiyo Tsh Milioni 200 ndiyo itakuwa ya Kazi.
Mo Dewji nikiifanya hii Kazi na kama Simba SC isipotwaa Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania, ASFC na haijafika Fainali ya CAFCL nitafute unifanye Bucha ili Hasira zako zipungue.
Nitaute haraka nikufanyie Kazi hii na bahati nzuri GENTAMYCINE nimecheza Mpira na naujua Mpira hivyo nikikuchagulia Vyuma basi jua Fundi na Mtaalam Mimi wa Kutukuka nimeshajiridhisha nao
Madhara ya 'Kukazwa' Kwako.Madhara ya Overstress.
Mkuu nenda tour kwanza
🤣🤣🤣🙌🙌🙌Madhara ya 'Kukazwa' Kwako.
Mkuu nenda tour Kwanza.