Mo Dewji Nitengee Tsh Bilioni 4 tu nizunguke duniani nikuletee Majembe ya Simba SC Kuzoa Vikombe vyote Africa

Genta nina wasiwasi... ukipewa hizo bilioni nne si utaenda kuzichakatia papuchi huko brazil na mexico hebu jitathmini kwanza kabla ya kuomba mambo makubwa kama haya.. utakufaaaa 🀣 🀣
 
Je? Hizo bilioni4 ulishawahi kuzimiliki au kuziona na macho?pili kama wewe ni mtaalamu hivo fundisha timu ya taifa ili utuaminishe hayo maneno yako. Angalizo hata yesu aliuzwa Kwa vipande vya vedha
 
Madhara ya Overstress.

Mkuu nenda tour kwanza
 
Simba ishapata BILION 4 za MAANDALIZI ya super cup.

Simba imepata almost BILIONI 2 za Robo Fainali.
 
kukufanya bucha itakua sio, bdo tunakuhitaji humu. Me naona kama plan ikifeli akuchakate tu, tutakutunzia siri mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…