Wana Simba SC fanyeni kila muwezalo ili Moja Dewji aachane na Simba SC na haraka sana Cognizant nitawaletea Mwekezaji Mpya na wa maana Klabuni huku upande wa Kusajili Wachezaji mahiri na wa kuipa Simba SC Ubingwa wa kuanzia NBC Premier League, ASFC na wa CAFCL nitasimamia Mwenyewe na mtafurahi na hata kunitafuta hapa JamiiForums ili mnishukuru na mnipe Tuzo ya Heshima au hata Kunijengea Mnara wangu kama Heshima ya Kutukuka na nilichowafanyia.
Fanyeni upesi kwa nililowaomba.
Fanyeni upesi kwa nililowaomba.