Mo Dewji sasa kama una Hela si umalizane tu na Ceaser Lobi Manzoki ili wana Simba SC tupumzike kwa Presha?

Mo Dewji sasa kama una Hela si umalizane tu na Ceaser Lobi Manzoki ili wana Simba SC tupumzike kwa Presha?

Pesa iendane na thamani mzee, kwa kuwa una hela ndio kazi ya ya 2000 ulipishwe laki 3!?
Sasa manzoki mkataba unaisha October wale wajuba wanataka zaidi ya dola laki moja. Usikute simba wameshakubaliana signing fee na mchezaji mwenyewe na anachotaka ni chini ya hiyo transfer fee wanayotaka vipers.
 
Pesa iendane na thamani mzee, kwa kuwa una hela ndio kazi ya ya 2000 ulipishwe laki 3!?
Sasa manzoki mkataba unaisha October wale wajuba wanataka zaidi ya dola laki moja. Usikute simba wameshakubaliana signing fee na mchezaji mwenyewe na anachotaka ni chini ya hiyo transfer fee wanayotaka vipers.
Ndo kinachoendelea kuhusu Manzoki
 
Pesa iendane na thamani mzee, kwa kuwa una hela ndio kazi ya ya 2000 ulipishwe laki 3!?
Sasa manzoki mkataba unaisha October wale wajuba wanataka zaidi ya dola laki moja. Usikute simba wameshakubaliana signing fee na mchezaji mwenyewe na anachotaka ni chini ya hiyo transfer fee wanayotaka vipers.
Nakubaliana na wewe katika hili kiuchumi. Kama kweli unaipenda timu yako lazima uone uchungu pale inapotaka kukomolewa. Simba inaweza kumsubiri Manzoki hadi January, lakini inatakiwa kuwa na wazo mbadala kwa hii miezi 5 iliyosalia. Ni nani wa kusimama pale mbele kama mkuki? Au timu inabadili mfumo ikisubiri huduma yake baada ya miezi 5. Je, mfumo mpya kwa wachezaji waliopo wanacope nao? Au waliopo wanaweza kufanya kazi ya Striker bila wasiwasi?
 
Nakubaliana na wewe katika hili kiuchumi. Kama kweli unaipenda timu yako lazima uone uchungu pale inapotaka kukomolewa. Simba inaweza kumsubiri Manzoki hadi January, lakini inatakiwa kuwa na wazo mbadala kwa hii miezi 5 iliyosalia. Ni nani wa kusimama pale mbele kama mkuki? Au timu inabadili mfumo ikisubiri huduma yake baada ya miezi 5. Je, mfumo mpya kwa wachezaji waliopo wanacope nao? Au waliopo wanaweza kufanya kazi ya Striker bila wasiwasi?
Hapo ni kocha sasa, kama anaweza kuwatumia waliopo au lah.
 
Ni bora tumsubili hadi dirisha dogo sina shaka na huduma za Mugalu na Kiyombo,
 
Pesa iendane na thamani mzee, kwa kuwa una hela ndio kazi ya ya 2000 ulipishwe laki 3!?
Sasa manzoki mkataba unaisha October wale wajuba wanataka zaidi ya dola laki moja. Usikute simba wameshakubaliana signing fee na mchezaji mwenyewe na anachotaka ni chini ya hiyo transfer fee wanayotaka vipers.
Word
 
Kwamba asipomalizana nae inaonekana hana hela?

Hivi nyinyi huwa mnadhani hela za wengine hazina maana eeh? Ilimradi ana hela badi hata kitu cha 500 basi akinunue hata kwa 100K ili kuthibitisha kwamba ana hela??

Nyinyi ndio wale ambao mkiona wazungu basi 1kg ya mchele utataka kumuuzia 10K[emoji23]
 
Sio kama una hela,ana hela mpaka Forbes wanazitambua ila kusajiri sio hela tu.
 
Hela hio apo
JamiiForums-1849190635.jpg
 
Pesa iendane na thamani mzee, kwa kuwa una hela ndio kazi ya ya 2000 ulipishwe laki 3!?
Sasa manzoki mkataba unaisha October wale wajuba wanataka zaidi ya dola laki moja. Usikute simba wameshakubaliana signing fee na mchezaji mwenyewe na anachotaka ni chini ya hiyo transfer fee wanayotaka vipers.
Huu ujinga walikuwa wanaufanya sana Jamaa wa iliyokuwa enzi zile inaitwa "Mbuguni" kwa sasa Mererani.

Wale jamaa walikuwa wakipiga milioni kadhaa basi wakija Arusha mjini hakukaliki, kila wakionacho kitanunuliwa...wewe Muuzaji ni kutaja bei tu unahesabiwa zako...sasa ukijikuta umetaja bei ndogo unaishia kuuma meno.
 
Huu ujinga walikuwa wanaufanya sana Jamaa wa iliyokuwa enzi zile inaitwa "Mbuguni" kwa sasa Mererani.

Wale jamaa walikuwa wakipiga milioni kadhaa basi wakija Arusha mjini hakukaliki, kila wakionacho kitanunuliwa...wewe Muuzaji ni kutaja bei tu unahesabiwa zako...sasa ukijikuta umetaja bei ndogo unaishia kuuma meno.
Inaitwa "MASIKINI AKIPATA" 😂
 
Back
Top Bottom