Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan pesa za mbet si zipo kwanini zisitumike!!!Mo Dewji sasa kama una Hela si umalizane tu na Ceaser Lobi Manzoki ili wana Simba SC tupumzike kwa Presha?
Akitua tu Simba SC Uto mtakoma!
Saa mbona yupo kwenye kikosi kinachocheza na yanga keshokutwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manzoni tayari ni mnyama yeye mwenyewe amevunja mkataba. Stay tuned
Dirisha dogo twamchukua
Wacha papara. Ligi ikianza utamuona unyamaniSaa mbona yupo kwenye kikosi kinachocheza na yanga keshokutwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ligi yenu ipi!? afu atavunja Rekodi..!!? Ipi unazungumzia...Manzoki ndio straiker hatari kuwahi kutokea ligi yetu, atavunja rekodi.
Weka akiba ya manenoManzoki ndio straiker hatari kuwahi kutokea ligi yetu, atavunja rekodi.
Anamzidi Sserunkuma????Manzoki ndio straiker hatari kuwahi kutokea ligi yetu, atavunja rekodi.
Ikitokea kacheza klabu bingwa Afrika akiwa Vipers akihamia Simba hatocheza klabu bingwa afrikaManzoki ndio straiker hatari kuwahi kutokea ligi yetu, atavunja rekodi.
Mkuu hii taarifa yako ni ya kweli ili kuanzia sasa GENTAMYCINE nianze Kufurahi / Kufurahia?Mbona ameshamalizana nae mda sana....leo.jioni ametua dar
Tayari kabisa hesabu ishafungwa.Mkuu hii taarifa yako ni ya kweli ili kuanzia sasa GENTAMYCINE nianze Kufurahi / Kufurahia?
Na hili ndilo ninaliogopa hasa tu Mkuu.Ikitokea kacheza klabu bingwa Afrika akiwa Vipers akihamia Simba hatocheza klabu bingwa afrika
Una uhakika Mkuu? Akitangazwa leo au Kesho au Keshokutwa kuwa tayari ni RED ( Ameshasinya ) na Simba SC yetu nitakuwa ni mwenye Furaha Kubwa mno kwani Ceaser Lobi Manzoki ni mzuri kuliko hata Mayele hasa katika Ufungaji halafu ni Mwepesi sana.Tayari kabisa hesabu ishafungwa.
Kweli anaweza kuja simba ila akawa kama Chikwende tu..maana nyie kwa kukuza majina hamjamboDirisha dogo twamchukua
Chini ya carpet wanadokeza tayari unyamani kuanzia kesho watamtangaza rasmi.Mkuu hii taarifa yako ni ya kweli ili kuanzia sasa GENTAMYCINE nianze Kufurahi / Kufurahia?
Subiri mwez wa kumi huko ndio atakuepoWacha papara. Ligi ikianza utamuona unyamani
Brother juzi si mmesaini 26.1 bil za M-Bet kila mwaka mna mgao wa zaidi ya bil 4,sasa mmege kidogo mlipie usajili wa Manzoki.Mo Dewji sasa kama una Hela si umalizane tu na Ceaser Lobi Manzoki ili wana Simba SC tupumzike kwa Presha?
Akitua tu Simba SC Uto mtakoma!