Mo Dewji sasa kama una Hela si umalizane tu na Ceaser Lobi Manzoki ili wana Simba SC tupumzike kwa Presha?

Mo Dewji sasa kama una Hela si umalizane tu na Ceaser Lobi Manzoki ili wana Simba SC tupumzike kwa Presha?

Mpira wa Bongo, ukitaka kutoa maoni ya kimpira watu wanaingiza ushabiki.

Ila ukweli mchungu, mashabiki wa Simba ondoeni matarajio makubwa kwenye Timu yenu. Wachezaji wengi mliosajili ni aina ya wachezaji wasaka mafanikio binafsi kuliko teamwork.

Sioni Simba ikipambana Ligi ya Mabingwa msimu huu na hata Ligi kuu jiandaeni Kisaikolojia mapema maana matatizo yenu bado hamjayatatua.

Kwa kuziangalia Azam na Yanga jinsi walivyoenda direct kutatua matatizo yao mfano Azam, Golikipa, Beki wa kati, Viungo nk
Yanga wao wameboresha Winga zote mbili, beki ya Kushoto na kuongeza nguvu eneo la juu na kati kidogo sana.

Simba ana safari ndefu sana msimu huu na hapa lazima mtaona wazi Kikosi kitabadilika mara kwa mara hasa kuanzia Kati hadi mbele. Hali hii itapelekea weak Combination ya timu na kuleta shida kwenye kusaka matokeo.

Naruhusu MATUSI.
 
Mpira wa Bongo, ukitaka kutoa maoni ya kimpira watu wanaingiza ushabiki.

Ila ukweli mchungu, mashabiki wa Simba ondoeni matarajio makubwa kwenye Timu yenu. Wachezaji wengi mliosajili ni aina ya wachezaji wasaka mafanikio binafsi kuliko teamwork.

Sioni Simba ikipambana Ligi ya Mabingwa msimu huu na hata Ligi kuu jiandaeni Kisaikolojia mapema maana matatizo yenu bado hamjayatatua.

Kwa kuziangalia Azam na Yanga jinsi walivyoenda direct kutatua matatizo yao mfano Azam, Golikipa, Beki wa kati, Viungo nk
Yanga wao wameboresha Winga zote mbili, beki ya Kushoto na kuongeza nguvu eneo la juu na kati kidogo sana.

Simba ana safari ndefu sana msimu huu na hapa lazima mtaona wazi Kikosi kitabadilika mara kwa mara hasa kuanzia Kati hadi mbele. Hali hii itapelekea weak Combination ya timu na kuleta shida kwenye kusaka matokeo.

Naruhusu MATUSI.
mkuu ungeainisha mapungufu ya simba msimu uliopita ni yapi na kwann usajili huu hauendi kuondoa hayo mapungufu
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Mpira wa Bongo, ukitaka kutoa maoni ya kimpira watu wanaingiza ushabiki.

Ila ukweli mchungu, mashabiki wa Simba ondoeni matarajio makubwa kwenye Timu yenu. Wachezaji wengi mliosajili ni aina ya wachezaji wasaka mafanikio binafsi kuliko teamwork.

Sioni Simba ikipambana Ligi ya Mabingwa msimu huu na hata Ligi kuu jiandaeni Kisaikolojia mapema maana matatizo yenu bado hamjayatatua.

Kwa kuziangalia Azam na Yanga jinsi walivyoenda direct kutatua matatizo yao mfano Azam, Golikipa, Beki wa kati, Viungo nk
Yanga wao wameboresha Winga zote mbili, beki ya Kushoto na kuongeza nguvu eneo la juu na kati kidogo sana.

Simba ana safari ndefu sana msimu huu na hapa lazima mtaona wazi Kikosi kitabadilika mara kwa mara hasa kuanzia Kati hadi mbele. Hali hii itapelekea weak Combination ya timu na kuleta shida kwenye kusaka matokeo.

Naruhusu MATUSI.
 
Mpira wa Bongo, ukitaka kutoa maoni ya kimpira watu wanaingiza ushabiki.

Ila ukweli mchungu, mashabiki wa Simba ondoeni matarajio makubwa kwenye Timu yenu. Wachezaji wengi mliosajili ni aina ya wachezaji wasaka mafanikio binafsi kuliko teamwork.

Sioni Simba ikipambana Ligi ya Mabingwa msimu huu na hata Ligi kuu jiandaeni Kisaikolojia mapema maana matatizo yenu bado hamjayatatua.

Kwa kuziangalia Azam na Yanga jinsi walivyoenda direct kutatua matatizo yao mfano Azam, Golikipa, Beki wa kati, Viungo nk
Yanga wao wameboresha Winga zote mbili, beki ya Kushoto na kuongeza nguvu eneo la juu na kati kidogo sana.

Simba ana safari ndefu sana msimu huu na hapa lazima mtaona wazi Kikosi kitabadilika mara kwa mara hasa kuanzia Kati hadi mbele. Hali hii itapelekea weak Combination ya timu na kuleta shida kwenye kusaka matokeo.

Naruhusu MATUSI.
Umejaa kinyesi kichwani
Tusubiri tarehe 13
 
mkuu ungeainisha mapungufu ya simba msimu uliopita ni yapi na kwann usajili huu hauendi kuondoa hayo mapungufu
1. Namba 8 na 10 ya uhakika.
Simba imekuwa na mategemeo makubwa sana kwa CHAMA licha ya ukweli kwamba kiwango chake kimeshuka sana na hatutaki kukubali hili.
SIMBA BADALA YA KUHANGAIKA SANA NA KUTAFUTA WAKIMBIAJI YAAN WINGA wangetulia na kutafuta strong midfield na naamini zipo za kutosha hata hapa East Africa. Washambuliaji wa Simba walikuwa hawapati mipira sahihi hivyo walitegemea sana kushuka kuja kuchukua mipira chini na kutafuta goli hali ambayo ni ngumu kwe Ligi yetu.

2. Namba 6. Simba hapa wanahitaji mtu ambaye anaweza kusaidia kazi mbili kwa wakati mmoja, Kukaba na kupandisha mashambulizi. Viungo wengi wa Simba ni wategeaji sana, wanakaba kwa macho, hapa huyu Akpan nimemuona mechi nyingi ni aina ile ile ya kina Mzamiru.

3. Namba 9. Hapa Simba pamoja na kuwa viungo hawakufanya kazi yao kwa ufasaha lkn pia unahitaji foward ambaye anaweza kuamua matokeo yeye kama yeye.

4. Beki za kulia na Kushoto, magoli mengi ya Simba yametokea pembeni ni wazi kuwa kunahitajika washindani halisi wa Kapombe na Zimbwe ili kuileta timu imara.
 
Mpira wa Bongo, ukitaka kutoa maoni ya kimpira watu wanaingiza ushabiki.

Ila ukweli mchungu, mashabiki wa Simba ondoeni matarajio makubwa kwenye Timu yenu. Wachezaji wengi mliosajili ni aina ya wachezaji wasaka mafanikio binafsi kuliko teamwork.

Sioni Simba ikipambana Ligi ya Mabingwa msimu huu na hata Ligi kuu jiandaeni Kisaikolojia mapema maana matatizo yenu bado hamjayatatua.

Kwa kuziangalia Azam na Yanga jinsi walivyoenda direct kutatua matatizo yao mfano Azam, Golikipa, Beki wa kati, Viungo nk
Yanga wao wameboresha Winga zote mbili, beki ya Kushoto na kuongeza nguvu eneo la juu na kati kidogo sana.

Simba ana safari ndefu sana msimu huu na hapa lazima mtaona wazi Kikosi kitabadilika mara kwa mara hasa kuanzia Kati hadi mbele. Hali hii itapelekea weak Combination ya timu na kuleta shida kwenye kusaka matokeo.

Naruhusu MATUSI.
Tuànze taratibu Mkuu;
Simba ilikuwa na tatizo gani msimu uliopita?
Wengi watakuambia haikuwa na striker tu.
Kama ni hivyo Simba ingeweza kumsajili Manzoki pekee na ikafanya vizuri?
Kwa maoni yangu hapana, Simba ilikuwa na matatizo sehemu kadhaa, ikiwemo beki ya kushoto, kiungo mkabaji, kiungo mchezeshaji na kiungo wa pembeni hasa anayetokea kulia na mmaliziaji.
Baadhi ya matatizo yamerekebishwa lakini mengine hayakuonwa kabisa. Kwa vile kocha yupo na baada ya muda atajua panapovuja, tuamini atarekebisha.
 
Mpira wa Bongo, ukitaka kutoa maoni ya kimpira watu wanaingiza ushabiki.

Ila ukweli mchungu, mashabiki wa Simba ondoeni matarajio makubwa kwenye Timu yenu. Wachezaji wengi mliosajili ni aina ya wachezaji wasaka mafanikio binafsi kuliko teamwork.

Sioni Simba ikipambana Ligi ya Mabingwa msimu huu na hata Ligi kuu jiandaeni Kisaikolojia mapema maana matatizo yenu bado hamjayatatua.

Kwa kuziangalia Azam na Yanga jinsi walivyoenda direct kutatua matatizo yao mfano Azam, Golikipa, Beki wa kati, Viungo nk
Yanga wao wameboresha Winga zote mbili, beki ya Kushoto na kuongeza nguvu eneo la juu na kati kidogo sana.

Simba ana safari ndefu sana msimu huu na hapa lazima mtaona wazi Kikosi kitabadilika mara kwa mara hasa kuanzia Kati hadi mbele. Hali hii itapelekea weak Combination ya timu na kuleta shida kwenye kusaka matokeo.

Naruhusu MATUSI.
Pumba
 
1. Namba 8 na 10 ya uhakika.
Simba imekuwa na mategemeo makubwa sana kwa CHAMA licha ya ukweli kwamba kiwango chake kimeshuka sana na hatutaki kukubali hili.
SIMBA BADALA YA KUHANGAIKA SANA NA KUTAFUTA WAKIMBIAJI YAAN WINGA wangetulia na kutafuta strong midfield na naamini zipo za kutosha hata hapa East Africa. Washambuliaji wa Simba walikuwa hawapati mipira sahihi hivyo walitegemea sana kushuka kuja kuchukua mipira chini na kutafuta goli hali ambayo ni ngumu kwe Ligi yetu.

2. Namba 6. Simba hapa wanahitaji mtu ambaye anaweza kusaidia kazi mbili kwa wakati mmoja, Kukaba na kupandisha mashambulizi. Viungo wengi wa Simba ni wategeaji sana, wanakaba kwa macho, hapa huyu Akpan nimemuona mechi nyingi ni aina ile ile ya kina Mzamiru.

3. Namba 9. Hapa Simba pamoja na kuwa viungo hawakufanya kazi yao kwa ufasaha lkn pia unahitaji foward ambaye anaweza kuamua matokeo yeye kama yeye.

4. Beki za kulia na Kushoto, magoli mengi ya Simba yametokea pembeni ni wazi kuwa kunahitajika washindani halisi wa Kapombe na Zimbwe ili kuileta timu imara.
Upo sahihi..
Huwezi kuridhika kuwa na Nyoni, Onyango ambao uwezo wao umeshuka kutokana na umri pia..msimu ulopita kuelekea mwishoni walikua uchochoro.
Lakini uwezo wa kapombe upo chini!
Gadieli sio wakubaki simba hata kidogo..
Kama kweli wamepata udhamini mkubwa watoe hela watafute deadly striker
 
Mpira wa Bongo, ukitaka kutoa maoni ya kimpira watu wanaingiza ushabiki.

Ila ukweli mchungu, mashabiki wa Simba ondoeni matarajio makubwa kwenye Timu yenu. Wachezaji wengi mliosajili ni aina ya wachezaji wasaka mafanikio binafsi kuliko teamwork.

Sioni Simba ikipambana Ligi ya Mabingwa msimu huu na hata Ligi kuu jiandaeni Kisaikolojia mapema maana matatizo yenu bado hamjayatatua.

Kwa kuziangalia Azam na Yanga jinsi walivyoenda direct kutatua matatizo yao mfano Azam, Golikipa, Beki wa kati, Viungo nk
Yanga wao wameboresha Winga zote mbili, beki ya Kushoto na kuongeza nguvu eneo la juu na kati kidogo sana.

Simba ana safari ndefu sana msimu huu na hapa lazima mtaona wazi Kikosi kitabadilika mara kwa mara hasa kuanzia Kati hadi mbele. Hali hii itapelekea weak Combination ya timu na kuleta shida kwenye kusaka matokeo.

Naruhusu MATUSI.
Mimi nadhani hata wewe umeongea kishabiki, sioni sehemu ambayo umeeleza kitaalamu kwanini mashabiki wa Simba Sc wasiwe na matarajio makubwa.
 
Mimi nadhani hata wewe umeongea kishabiki, sioni sehemu ambayo umeeleza kitaalamu kwanini mashabiki wa Simba Sc wasiwe na matarajio makubwa.
Subiri Kuanzia Simba day kisha Tar 13 utaelewa zaidi.
 
Kama una hela??? Mkuuu umemshusha mwekezaji mshauri 😉😉
 
Mpira wa Bongo, ukitaka kutoa maoni ya kimpira watu wanaingiza ushabiki.

Ila ukweli mchungu, mashabiki wa Simba ondoeni matarajio makubwa kwenye Timu yenu. Wachezaji wengi mliosajili ni aina ya wachezaji wasaka mafanikio binafsi kuliko teamwork.

Sioni Simba ikipambana Ligi ya Mabingwa msimu huu na hata Ligi kuu jiandaeni Kisaikolojia mapema maana matatizo yenu bado hamjayatatua.

Kwa kuziangalia Azam na Yanga jinsi walivyoenda direct kutatua matatizo yao mfano Azam, Golikipa, Beki wa kati, Viungo nk
Yanga wao wameboresha Winga zote mbili, beki ya Kushoto na kuongeza nguvu eneo la juu na kati kidogo sana.

Simba ana safari ndefu sana msimu huu na hapa lazima mtaona wazi Kikosi kitabadilika mara kwa mara hasa kuanzia Kati hadi mbele. Hali hii itapelekea weak Combination ya timu na kuleta shida kwenye kusaka matokeo.

Naruhusu MATUSI.
Wachezaji wote waliosajiliwa Simba SC wamekuja kuziba mapengo ya msimu uliopita.

Unavyosema wanacheza kibinafsi hata sikuelewi hoja yako, hivi wanaweza kuwa wabinafsi kumshinda Morrison!

Ligi ya mabingwa ndio nyumbani kwa Simba SC, usijipe moyo pambaneni na hali zenu.
 
Back
Top Bottom