GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #61
Asanteni kwa hii Taarifa na huku Kunihakikishia Kwenu na kwa Furaha niliyonayo ngoja tu nitafute 'Mbunye' ya 'Kuitindua' kwa Usiku huu nikisheherekea huko 'Kusinya' kwa 'Profesa' wa Kufunga Magoli Ceaser Lobi Manzoki.Chini ya carpet wanadokeza tayari unyamani kuanzia kesho watamtangaza rasmi.
Oooh nakumbuka tulikuwa wote kwenye ligi kama nyinyi.Mwaka jana si mlichelewa vp KLABU BINGWA MLIISHIA WAPI??
Na ulimpigia upatu kweli kweliAsanteni kwa hii Taarifa na huku Kunihakikishia Kwenu na kwa Furaha niliyonayo ngoja tu nitafute 'Mbunye' ya 'Kuitindua' kwa Usiku huu nikisheherekea huko 'Kusinya' kwa 'Profesa' wa Kufunga Magoli Ceaser Lobi Manzoki.
I will the happiest Simba SC Fan if they are done with him. He has all what it takes to be dangerous Striker ( Forward ) and hopefully this Season all Simba SC fans are going to gain more Weight and Smiling all the time.Kesho anatangzwa..TULIA
Asanteni kwa hii Taarifa na huku Kunihakikishia Kwenu na kwa Furaha niliyonayo ngoja tu nitafute 'Mbunye' ya 'Kuitindua' kwa Usiku huu nikisheherekea huko 'Kusinya' kwa 'Profesa' wa Kufunga Magoli Ceaser Lobi Manzoki.
Labda bocco haja piga vibuyuI will the happiest Simba SC Fan if they are done with him. He has all what it takes to be dangerous Striker ( Forward ) and hopefully this Season all Simba SC fans are going to gain more Weight and Smiling all the time.
Mpira wa Bongo, ukitaka kutoa maoni ya kimpira watu wanaingiza ushabiki.
Ila ukweli mchungu, mashabiki wa Simba ondoeni matarajio makubwa kwenye Timu yenu. Wachezaji wengi mliosajili ni aina ya wachezaji wasaka mafanikio binafsi kuliko teamwork.
Sioni Simba ikipambana Ligi ya Mabingwa msimu huu na hata Ligi kuu jiandaeni Kisaikolojia mapema maana matatizo yenu bado hamjayatatua.
Kwa kuziangalia Azam na Yanga jinsi walivyoenda direct kutatua matatizo yao mfano Azam, Golikipa, Beki wa kati, Viungo nk
Yanga wao wameboresha Winga zote mbili, beki ya Kushoto na kuongeza nguvu eneo la juu na kati kidogo sana.
Simba ana safari ndefu sana msimu huu na hapa lazima mtaona wazi Kikosi kitabadilika mara kwa mara hasa kuanzia Kati hadi mbele. Hali hii itapelekea weak Combination ya timu na kuleta shida kwenye kusaka matokeo.
Naruhusu MATUSI.
Ngoja sasa ni Log Out nikatafute wa Kumkanda 'Kibaiolojia' kwa Usiku huu kwa Furaha Kubwa ya Kumuona 'Poti' wangu na Mafia wa Soka Crescentius Magori ( pichani hapa ) akiwa na Mshambuliaji ninayemhitaji na kumkubali zaidi Ceaser Lobi Manzoki.
Kweli anaweza kuja simba ila akawa kama Chikwende tu..maana nyie kwa kukuza majina hamjambo
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Asanteni kwa hii Taarifa na huku Kunihakikishia Kwenu na kwa Furaha niliyonayo ngoja tu nitafute 'Mbunye' ya 'Kuitindua' kwa Usiku huu nikisheherekea huko 'Kusinya' kwa 'Profesa' wa Kufunga Magoli Ceaser Lobi Manzoki.
Ahsanteeeeeeh studioooooo.
Nipo hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni YEYE CESAR LOBI MANZOKI[emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]watu wabad nyie..cocastic uko wapi???
Hatukutukani ila tunza maneno yako mana ligi bado week moja tu tutakuumbushaMpira wa Bongo, ukitaka kutoa maoni ya kimpira watu wanaingiza ushabiki.
Ila ukweli mchungu, mashabiki wa Simba ondoeni matarajio makubwa kwenye Timu yenu. Wachezaji wengi mliosajili ni aina ya wachezaji wasaka mafanikio binafsi kuliko teamwork.
Sioni Simba ikipambana Ligi ya Mabingwa msimu huu na hata Ligi kuu jiandaeni Kisaikolojia mapema maana matatizo yenu bado hamjayatatua.
Kwa kuziangalia Azam na Yanga jinsi walivyoenda direct kutatua matatizo yao mfano Azam, Golikipa, Beki wa kati, Viungo nk
Yanga wao wameboresha Winga zote mbili, beki ya Kushoto na kuongeza nguvu eneo la juu na kati kidogo sana.
Simba ana safari ndefu sana msimu huu na hapa lazima mtaona wazi Kikosi kitabadilika mara kwa mara hasa kuanzia Kati hadi mbele. Hali hii itapelekea weak Combination ya timu na kuleta shida kwenye kusaka matokeo.
Naruhusu MATUSI.
sasa utopolo na nyie mnaiwaza Club bingwa? Serious?Mpira wa Bongo, ukitaka kutoa maoni ya kimpira watu wanaingiza ushabiki.
Ila ukweli mchungu, mashabiki wa Simba ondoeni matarajio makubwa kwenye Timu yenu. Wachezaji wengi mliosajili ni aina ya wachezaji wasaka mafanikio binafsi kuliko teamwork.
Sioni Simba ikipambana Ligi ya Mabingwa msimu huu na hata Ligi kuu jiandaeni Kisaikolojia mapema maana matatizo yenu bado hamjayatatua.
Kwa kuziangalia Azam na Yanga jinsi walivyoenda direct kutatua matatizo yao mfano Azam, Golikipa, Beki wa kati, Viungo nk
Yanga wao wameboresha Winga zote mbili, beki ya Kushoto na kuongeza nguvu eneo la juu na kati kidogo sana.
Simba ana safari ndefu sana msimu huu na hapa lazima mtaona wazi Kikosi kitabadilika mara kwa mara hasa kuanzia Kati hadi mbele. Hali hii itapelekea weak Combination ya timu na kuleta shida kwenye kusaka matokeo.
Naruhusu MATUSI.