Mo Dewji tuachie Simba SC yetu ili uendelee na Maisha yako kwani siyo Siri tumeshakuchoka na Usanii wako

Ni certified popoma
 
Kuna kitu haiko sawa kwa kichwa yake
 
Mbona jana wakati ukienda kuroga hukuyasema haya,mbona ulijiaminisha mnashinda mapema ikiwa ulijua kikosi kibovu? au kiliingia kikosi kipya
Nyie wachambuzi uchwara na msiojua mpira ndo mnawapoteza wenzenu,ujuaji mwingi tu unawasumbua
ndio maana anaitwa popoma,mbumbumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…