Mugabonihela
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 306
- 1,784
Sawa timu imeuzwa! Lakini hiki hakikua kipindi sahihi cha kuanza kwa mjadala huo, bwana mudi alipaswa asubiri matokeo ya mechi yetu na Galaxy ndio alete hii hoja.
Technically kuna kitu hakijakaa sawa, Mo ajitokeze mbele za watu kuliweka hili jambo sawa tena ikiwezekana ndani ya masaa 12 yajayo.
Technically kuna kitu hakijakaa sawa, Mo ajitokeze mbele za watu kuliweka hili jambo sawa tena ikiwezekana ndani ya masaa 12 yajayo.