Mugabonihela
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 306
- 1,784
Du hawakujua walitendalo[emoji81][emoji81]miaka mitano yote kumbe mna lilia mali ya mwanaume
Very very Sad
Hivi hapo Interview imefanywa Lini?Sawa timu imeuzwa! Lakini hiki hakikua kipindi sahihi cha kuanza kwa mjadala huo, bwana mudi alipaswa asubiri matokeo ya mechi yetu na Galaxy ndio alete hii hoja.
Technically kuna kitu hakijakaa sawa, Mo ajitokeze mbele za watu kuliweka hili jambo sawa tena ikiwezekana ndani ya masaa 12 yajayo.
Hivi hapo Interview imefanywa Lini?
Tusiwe tuna mlaumu MO tu daily kua anafanya hizi interview wakat simba inakaribia kucheza No.
Tuwalaumu pia wanaomfanyia Interview ujue hizi interview ukute zilifanyika Mwez wa 1 Mwishoni au wa Pili mwanzon ila mtu akakaa nayo anaangalia Mda gani akiitoa itamlipa?
Kwahio tujue pia Mda gani Interview ilifanywa kama imefanyika Lastweek FINE tumlaumu MO ila kama ya Zaman tusimlaumu kabisa.
KWANZA NI MALI YAKE NIMEKUMBUKA
Aahaaa[emoji81][emoji81]miaka mitano yote kumbe mna lilia mali ya mwanaume
Mkuu Asante kwa elimu hiiNajalibu kuwaza miaka 5 iliyopita. Napata picha kua.timu zote simba na yanga zilikua zinauzwa na mkono wa serkali ya jiwe.
Na hii inawezakua ndio sababu ya manji kusumbuliwa wakati ule. Hadi kuachana kabisa na yanga.
Bahati nzuri GSM ina mkono mzito wa mzee mstafu.akainusuru. hatari sana..!!
Serkali ile ilikua ikikwama hela inafanya chochote cha ajabu.
Unaweza kuta magu ndo alikula zile bil 20Najalibu kuwaza miaka 5 iliyopita. Napata picha kua.timu zote simba na yanga zilikua zinauzwa na mkono wa serkali ya jiwe.
Na hii inawezakua ndio sababu ya manji kusumbuliwa wakati ule. Hadi kuachana kabisa na yanga.
Bahati nzuri GSM ina mkono mzito wa mzee mstafu.akainusuru. hatari sana..!!
Serkali ile ilikua ikikwama hela inafanya chochote cha ajabu.
Baada ya hapo wakatengeneza kampeni ya kuweka watu wao kuanzia kwenye timu hadi tiefuefu wakaanza kuinyanyasa yanga. Na kila aina ya hila.Unaweza kuta magu ndo alikula zile bil 20
kweli kabisa...aweke mabandiko ya MOXtra hata 16 kwenye jezi za timu yake hatubishi wala kuhoji tenaKiukweli tusamehe sana MO, Mimi nikiwa wakilisha Mashabiki wenzangu wa Simba.
Naomba Utusamehe sana kukusema kuwa wewe ni bahili Mara hujitoi na tukaenda mbali kukulazimisha kuachia Timu pasipokujua hii ni Mali yako na umeinunua Miaka Mingi yapata 5 sasa.
Tusamehe sana RAIS WA HESHIMA Sisi ni Mambumbumbu kabisa we Fanya utakavyo Maana Simba Ni Mali yako kama Magari yako au Mkeo.
#SHABIKI LILIA WA KOLO WAS HERE
Tumekosa..Na wakitolewa robo mwaka huu wachezaji wasibebe Ndoo tu za Sabuni bali wakawe makago wakushusha bidhaa na kupandisha viwandani kwake😂kweli kabisa...aweke mabandiko ya MOXtra hata 16 kwenye jezi za timu yake hatubishi wala kuhoji tena
tumekuachia timu yako"Kanunua timu sio shareBig share holder?