Mo: mtanipiga mniue Simba sihami ng'o

Mo: mtanipiga mniue Simba sihami ng'o

Hivi unafatilia Simba kweli? Kama unafatilia usingeuliza Hilo swali. Usichoelewa ni ngumu tajiri kuridhika siku zote anawaza kupata zaidi. Malengo ya mo sio kuwa miongini mwa matajiri wakubwa Afrika Bali kuwa tajiri namba moja, utajiri wake usikupumbaze ukawaza hazikodolei macho pesa za CAF
Sio tu nafutalia Simba bali nafuatilia mpira kiujumla na ndio maana nimeuliza hilo swali.

Nimeomba unitajie hicho kiasi ambacho Simba inapokea kutoka CAF ambacho kinampa tamaa Mo ya kukihitaji.


Kingine Mkuu tuambie umejuaje malengo ya MO yaliyo sirini mwake?

Nikikuambia hizo ni speculations zako ambazo huwezi kuzithibitisha ntakuwa nakosea?

Kama Simba inapata fungu kutoka CAF ambalo linaweza kumfanya MO alitolee mate basi ni wazi kwamba Simba ilikuwa inapata hela nyingi kuliko kile alichokuwa anatoa MO.

Na kwa fact hiyo ni kwamba unakuwa unatuaminisha kuwa Simba tulikuwa na nafasi ya kujiendesha bila mwekezaji kwasababu ya hilo fungu kutoka CAF.

Hoja ni hii

Kwanini Simba ilishindwa kujiendesha yenyewe kwa pesa hizo za CAF mpaka kuamua kumtafuta mwekezaji?
 
Majungu Sasa haya [emoji23][emoji23]
Siyo majungu ila yule mhindi ni mbabaishaji mara aseme keshatoa bilioni 20,mara aseme anasubiri mchakato ukamilike ndiyo atoe,mara aseme toka 2018 mpaka sasa ametoa hela nyingi zaidi ya bil.24 hivyo kama vipi yeye hadaiwi chochote yeye ndiyo anadai chenji lakini wakati analeta ngonjera zote hizo timu kaishikilia mateka anapanga na kupangua safu ya uongozi kama yeye ndiye mmiliki wa klabu kwa 100%
Sasa mtu kama huyo tumueleweje?
 
Siyo majungu ila yule mhindi ni mbabaishaji mara aseme keshatoa bilioni 20,mara aseme anasubiri mchakato ukamilike ndiyo atoe,mara aseme toka 2018 mpaka sasa ametoa hela nyingi zaidi ya bil.24 hivyo kama vipi yeye hadaiwi chochote yeye ndiyo anadai chenji lakini wakati analeta ngonjera zote hizo timu kaishikilia mateka anapanga na kupangua safu ya uongozi kama yeye ndiye mmiliki wa klabu kwa 100%
Sasa mtu kama huyo tumueleweje?
Ni wewe humwelewi mimi namwelewa vizuri tu
 
Sio tu nafutalia Simba bali nafuatilia mpira kiujumla na ndio maana nimeuliza hilo swali.

Nimeomba unitajie hicho kiasi ambacho Simba inapokea kutoka CAF ambacho kinampa tamaa Mo ya kukihitaji.


Kingine Mkuu tuambie umejuaje malengo ya MO yaliyo sirini mwake?

Nikikuambia hizo ni speculations zako ambazo huwezi kuzithibitisha ntakuwa nakosea?

Kama Simba inapata fungu kutoka CAF ambalo linaweza kumfanya MO alitolee mate basi ni wazi kwamba Simba ilikuwa inapata hela nyingi kuliko kile alichokuwa anatoa MO.

Na kwa fact hiyo ni kwamba unakuwa unatuaminisha kuwa Simba tulikuwa na nafasi ya kujiendesha bila mwekezaji kwasababu ya hilo fungu kutoka CAF.

Hoja ni hii

Kwanini Simba ilishindwa kujiendesha yenyewe kwa pesa hizo za CAF mpaka kuamua kumtafuta mwekezaji?
Akikujibu nitag
 
Sasa kama unaongozwa na ushabiki mbona kila muda unaongelea ooh mara nimetoa pesa nyingi ooh mara sijui nini !
We jikite kwenye ushabiki acha kulialia umetoa hiki oooh mara hiki !
Huoni wenzio kama Mzee Bakhress na wanae hata huskii wameota hiki au kile na hata GSM hatujamskia !
 
Kwanini Simba ilishindwa kujiendesha yenyewe kwa pesa hizo za CAF mpaka kuamua kumtafuta mwekezaji
Tatizo ni kuingia CAF group stage bila hela is almost impossible.
Pia pamoja na matangazo (average 30% ya gharama za biashara), pia katika jerseys anapata hela nyingi kupitia kampuni yake.
Uzuri wa AFL na CAFCL unalipwa in USD. Utajiri wa MO ni TZS ambayo nobody wants.
Hawezi kubadilisha 3T shillings in to USD never na shillings zinadondoka kila mwaka.
So, hiyo ni sehemu mojawapo ya kujiingizia Dollars.
 
pesa za kuendesha timu kwa sasa wewe umetoa sh ngapi?
Umesikia nimetaka kuwa muwekezaji? Halafu mbona kama unakereka sana! Shida nini? Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake kwa kadri anavyoona inafaa sio lazima kila mtu amuunge mkono huyo MO wako,kama anaweza atoe hela na kama hawezi aache fursa hiyo kwa wengine.
 
Siyo majungu ila yule mhindi ni mbabaishaji mara aseme keshatoa bilioni 20,mara aseme anasubiri mchakato ukamilike ndiyo atoe,mara aseme toka 2018 mpaka sasa ametoa hela nyingi zaidi ya bil.24 hivyo kama vipi yeye hadaiwi chochote yeye ndiyo anadai chenji lakini wakati analeta ngonjera zote hizo timu kaishikilia mateka anapanga na kupangua safu ya uongozi kama yeye ndiye mmiliki wa klabu kwa 100%
Sasa mtu kama huyo tumueleweje?
Kwakweli pale Simba ....selikari iingilie kati
 
Sasa kama unaongozwa na ushabiki mbona kila muda unaongelea ooh mara nimetoa pesa nyingi ooh mara sijui nini !
We jikite kwenye ushabiki acha kulialia umetoa hiki oooh mara hiki !
Huoni wenzio kama Mzee Bakhress na wanae hata huskii wameota hiki au kile na hata GSM hatujamskia !
Mtafute mtu aliyewahi kupiga kazi Kwa wahindi ....akupe briefing [emoji23]
 
Tatizo ni kuingia CAF group stage bila hela is almost impossible.
Pia pamoja na matangazo (average 30% ya gharama za biashara), pia katika jerseys anapata hela nyingi kupitia kampuni yake.
Uzuri wa AFL na CAFCL unalipwa in USD. Utajiri wa MO ni TZS ambayo nobody wants.
Hawezi kubadilisha 3T shillings in to USD never na shillings zinadondoka kila mwaka.
So, hiyo ni sehemu mojawapo ya kujiingizia Dollars.
Nitajie Club yeyote unayoijua wewe ambayo imejiendesha kupitia bonus za mashirikisho na kufanikiwa kupata mataji bila mwekezaji
 
Nitajie Club yeyote unayoijua wewe ambayo imejiendesha kupitia bonus za mashirikisho na kufanikiwa kupata mataji bila mwekezaji

Soma sentensi ya kwanza. Inabidi uwekeze hela ili upate hela, bila kuwekeza ni vigumu kuingia group stage. Timu masikini huchujwa kuingia group stages.
Baada ya hapo, kuna faida kadri utakavyoendelea. Na ukishaendelea na kupata fedha, basi asilimia kubwa itakuwa wewe ni timu ya kupata hela za bonus na hizo hela zina faida kubwa.
Kisichoeleweka hapo kipi?
 
Soma sentensi ya kwanza. Inabidi uwekeze hela ili upate hela, bila kuwekeza ni vigumu kuingia group stage. Timu masikini huchujwa kuingia group stages.
Baada ya hapo, kuna faida kadri utakavyoendelea. Na ukishaendelea na kupata fedha, basi asilimia kubwa itakuwa wewe ni timu ya kupata hela za bonus na hizo hela zina faida kubwa.
Kisichoeleweka hapo kipi?
Uwekeze hela kutoka vyanzo gani?

Niambie huo uwekezaji unafanyika chini ya nani?

Katika maelfu ya timu unataka kuniambia umekosa kweli mfano hata mmoja wa hiyo timu iliyowahi kufikia hayo malengo?
 
Back
Top Bottom