Mo: mtanipiga mniue Simba sihami ng'o

Mo: mtanipiga mniue Simba sihami ng'o

pesa za kuendesha timu kwa sasa wewe umetoa sh ngapi?
Akiwa na akili timamu hatajibu, wanajua kuchonga mdomo Tu wakati hata cents tano hajachangia na wala hawezi kuchangia!
Sisi washabiki tusichonge sana, Sisi tuombee wenye nazo wafanye wawezalo waturejeshee furaha ktk timu. Hakuna faida yoyote ya kumkashfu awe ni mfadhili au mwekezaji. Wewe unauemkashfu jiulize umetoa milioni ngapi za kuendesha timu? Au basi Tu Roho za fitina zinawaumiza!
 
Atuambie tu,hajapata hasara?

Manake Kanjibai kmmq ni mjanja janja sana.

Kama anapata hasara aseme nimlipe kiasi gani nitake over timu
 
Atuambie tu,hajapata hasara?

Manake Kanjibai kmmq ni mjanja janja sana.

Kama anapata hasara aseme nimlipe kiasi gani nitake over timu
Timu ni yake ...aliinunua[emoji23]
 
Back
Top Bottom