Mo na GSM mnazijua hesabu za mlinganyo?

Sasa sh. 50/= kwa kila jezi ni ongezeko gani hapo? Tatizo anayedhamini klabu ndiye anayeiongoza
 
Mbumbumbu haya mambo ni mazito kwao anajua kwa kuwa mbet kaweka 26 basi mo ilitakiwa aweke 26*3 (kila tangazo alipie 26)
Eewaaa!! Kwani wenye Simba hawana uwezo wa ku negotiate na wafanyabiasha? Mbona mo na GSM wanapata mikataba minono kwa wafanyabiasha wenzao? Wenye Mali tunakwama wapi?
 
Zitangazwe kama vile m bet, sportpesa, Azam na NBC walivyotangaza na kutangazwa mbele ya camera. Kwanini unataka twende TUka Google kujua wanalipa bei gani? mbona wanasema wanapata hasara tyuuu?
pamoja na kupewa angalizo lakini bado unapuyanga tu. Unataka wakutangazie wewe au umma. Maana kama umma ulishatangaziwa,kama hukusikia wakusaidieje?
 
Sio kila hoja inajadiliwa kishabiki Gsm anawalipa yanga 1350 Kwa kila jezi anayouza mo hataki mikataba ya Bei ndogo sio kosa kuhoji yeye analipia shilingi ngapi?
Anataka hela nyingi kutoka kwa wadhamini wengine lakini yeye katoa hela mbuzi kwa Simba. Huu ni uzembe wa wamiliki wa timu hizi kubwa mbili. Uwezo wa ku bargain hatuna.
 
Huyo ni mtopolo wa kutupwa. Ndo ujue sasa kwamba Mashabiki wa utopolo wengi wao ni hamnazo

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Yani kukwambia Simba inaibiwa na manyang'au ni uhamnazo? yaani yeye anavuta hela kibao kutoka m-bet, NBC, Azam, TBC kwa matangazo lakini yeye anatangaza bidhaa zake bure chee.
 
YAANI MWANANGU ACHA TU
 
pamoja na kupewa angalizo lakini bado unapuyanga tu. Unataka wakutangazie wewe au umma. Maana kama umma ulishatangaziwa,kama hukusikia wakusaidieje?
Kama ni tangazo basi lilikuwa ni tangazo la kifo Cha club. Maana nimesikia mtu mmoja alitangaza kuimiliki 49% ya timu milele kwa 20b TU, ambazo hata hivyo hazijulikani ziko bank ipi, wakati m-bet hata bila kumiliki hata 1% tu ya timu katoa 26b (kama ni kweli).

Yuko jamaa mmoja aliomba kuikodisha timu kwa miaka 10 tu basi na kuirudisha. Jamani watanzania amkeni amkeni bwanaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…