kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kama kampuni za Sportpesa, m-bet, Azam media, NBC na TBC zimetoa billion zile zote kwaajili ya kutangazwa na Simba na Yanga kwenye jezi zao je, mo na GSM kuweka matangazo yenu kwenye jezi za Simba na Yanga unalipa bei gani?
Mfano, m-bet kuweka tangazo lake moja TU kwenye jezi ya Simba amelipa Tsh 26billion, je mo kuweka matangazo 3 ya bidhaa zake kwenye jezi ya Simba alipaswa kulipa bei gani?
Kama sportpesa kalipa 12 b kuweka tangazo lake moja pale kwenye jezi ya Yanga je GSM kubandika nembo yake pale kifuani kwenye jezi za Yanga analipa bei gani? Wote hawa wanafaidika na matangazo.
Mfano, m-bet kuweka tangazo lake moja TU kwenye jezi ya Simba amelipa Tsh 26billion, je mo kuweka matangazo 3 ya bidhaa zake kwenye jezi ya Simba alipaswa kulipa bei gani?
Kama sportpesa kalipa 12 b kuweka tangazo lake moja pale kwenye jezi ya Yanga je GSM kubandika nembo yake pale kifuani kwenye jezi za Yanga analipa bei gani? Wote hawa wanafaidika na matangazo.