Kama Mo hapati faida aondoke aje tajiri Bakhresa hana majivuno. Huyu Mo anakera na kutulingishia sana utajiri wake kama anaona anapata hasara si aondoke zake aiache Simba? Why jezi ya Simba imejaa matangazo yake page ya simba kila siku inatangaza bidhaa zake.
Wanasimba tukiamua tutasusia hata hizo Mo energy zake. Kuna mtu kamshikia bunduki kuja simba.
Wanasimba haya masimango tumechoka.
Wanasimba tukiamua tutasusia hata hizo Mo energy zake. Kuna mtu kamshikia bunduki kuja simba.
Wanasimba haya masimango tumechoka.