Mo Salah atoa Pounds 3,000,000 za Misri ($156,664) kujenga upya Kanisa lililoungua Giza

Mo Salah atoa Pounds 3,000,000 za Misri ($156,664) kujenga upya Kanisa lililoungua Giza

Hapa nimekutajia nchi nyingi tu,wewe hujatembea,tembea uone,nimekutajia nchi kibao hapo,zeje waislamu wengi,na wakristo wako huru.
Ulipotaja Saudi Arabia nikaona haupo serious kabisa.


Saudi Arabia hii hii ambayo wanawake wameanza kuruhusiwa kuendesha gari mwaka juzi ?
 
Sababu Wakristo wajinga sana, hakuna muislamu wa sampuli hii.

Kwahiyo hii tabia muiache ya kujifanya Waislamu, humu naona imekithiri sana.
Wakristo ni wajinga kwa vile wanaruhusu uwakosoe bila kukutishia maisha yako.

Ikitokea mtu aseme waislamu ni wajinga ( kama wewe ulivyosema Wakristo ) unadhani adhabu yake itakuwa nini ?
 
Sababu Wakristo wajinga sana, hakuna muislamu wa sampuli hii.

Kwahiyo hii tabia muiache ya kujifanya Waislamu, humu naona imekithiri sana.
Tumia akili Mimi sio "mkristo" ila unapowaita Wakristo wajinga wewe unaona ni sawa uislamu ukitukanwa mtaanza kulalamika kutwa nzima
 
Wakristo ni wajinga kwa vile wanaruhusu uwakosoe bila kukutishia maisha yako.

Ikitokea mtu aseme waislamu ni wajinga ( kama wewe ulivyosema Wakristo ) unadhani adhabu yake itakuwa nini ?
Hakuna sheria ya adhabu au kumfanya kitu kibaya mtu mjinga, ukituambia sisi wajinga tutakuomba tu uonyeshe ujinga wetu ulipo.

Wakristo wajinga kwa sababu nyingi, kwanza watu wakubadilisha maneno umbile lake na maana zake. Hawaoni shida kuigiza Waislamu na huku wao si Waislamu.
 
Tumia akili Mimi sio "mkristo" ila unapowaita Wakristo wajinga wewe unaona ni sawa uislamu ukitukanwa mtaanza kulalamika kutwa nzima
Nitajuaje kama wewe Muislamu ? Hili la kwanza.

Mtu mjinga kumuita mjinga si tusi bali ni haki yake. Sisi Waswahili kijana, matusi tunayajua, mjinga si tusi. Kwahiyo wewe ukitaka kutukana tukana sijawahi kulalamika juu ya hilo,bali huwa nakataa kuandika uzishi na uongo kutuhusu sisi Waislamu na Uislamu.
 
Hakuna sheria ya adhabu au kumfanya kitu kibaya mtu mjinga, ukituambia sisi wajinga tutakuomba tu uonyeshe ujinga wetu ulipo.

Wakristo wajinga kwa sababu nyingi, kwanza watu wakubadilisha maneno umbile lake na maana zake. Hawaoni shida kuigiza Waislamu na huku wao si Waislamu.
Ujinga wako (sio wenu ), upo katika kuamini kundi au jamii nzima ya watu ni wajinga.
 
Ujinga wako (sio wenu ), upo katika kuamini kundi au jamii nzima ya watu ni wajinga.
Siyo kuamini bali nina uhakika katika suala la dini Wakristo ni wajinga, kwenye mengine huenda mkawa mnayajua vizuri ila katika hili hali iko hivyo.
 
😂😂😂mnakaza fuvu kwa vitu vidgo sana no wonder badala ya kumjibu Salma Rushdie kinovel chake kwa kupangua hoja zake sisi Tunataka kumkata kichwa..Niliyekuwa namuelekeza ni mgalatia kulikuwa hakuna haja ya kumwandikia kwa lugha ngumu kama hiyo zaid ya kuandika kimazoea hili atambue haraka,hii ni sawa na kuandika Alamdulilai hili ieleweke mapma kuliko kukazana mafuvu wkt unamuelekeza mgalatia
Msanii tu wewe.
 
Sababu Wakristo wajinga sana, hakuna muislamu wa sampuli hii.

Kwahiyo hii tabia muiache ya kujifanya Waislamu, humu naona imekithiri sana.
Kilaza wewe nyie waislam ndio viazi kabisa hivi jitu linaenda kubusu jiwe kule maka eti linampiga shetan??!!?🙄🙄🙄 hivi hamgundui hapo ni kuwatengenezea waarabu pesa za utalii kijanja, ??!! Kweli waarabu walijikamatia ming'ombe yao😂😂😂🤣🤣
 
Kilaza wewe nyie waislam ndio viazi kabisa hivi jitu linaenda kubusu jiwe kule maka eti linampiga shetan??!!?🙄🙄🙄 hivi hamgundui hapo ni kuwatengenezea waarabu pesa za utalii kijanja, ??!! Kweli waarabu walijikamatia ming'ombe yao😂😂😂🤣🤣
Poa.
 
Ukristo ndio din ya kwanza uislam ukaja miaka miasita baadaye jiongeze kiazi wewe
Choko jifunze kusoma na kuelewa,nimekupa Aya ya quran kuonesha Adam alikua muislam,ukiristo ni dini iliyoanzishwa na Paulo,mfarisayo mpinzani wa yesu aliyedai katokewa na yesu baada ya yesu kuondoka duniani
 
Choko jifunze kusoma na kuelewa,nimekupa Aya ya quran kuonesha Adam alikua muislam,ukiristo ni dini iliyoanzishwa na Paulo,mfarisayo mpinzani wa yesu aliyedai katokewa na yesu baada ya yesu kuondoka duniani
Kumbe naongea na kiazi eti adam alikuwa muislam jiongeze matako wewe hebu toka hapa
 
Back
Top Bottom