Mo Salah na C. Ronaldo wanatuchanganya sana. Nashindwa kuwaelewa.

Mo Salah na C. Ronaldo wanatuchanganya sana. Nashindwa kuwaelewa.

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
FaizaFoxy alishaandika akifurahi sana kuwa CR. Kasilimu. Several times tumekuwa tukifurahia kuwa tumepata bonge la mtu katika uislamu. Lakini namwona bado anasheherekea Christmas na familia yake. Hii inakuaje? Mi nashindwa kuelewa kabisa. Hii imekaaje kaaje?

Huyu Mo. Salah ni muislamu kabisa. Naye anasherehekea Christmas tena kila mwaka. Je ameamua kuudhi tu watu kwa makusudi? Ingawa wanamtetea kuwa ni haki yake umaarufu ni wake hakuna aliyemsaidia kufika hapo so pia asitumike kiimani.

Lakini mimi binafsi sioni kama wanavyofanya ni sawa. Hiyo si sawa kabisa hawakupaswa kuonesha anything about christmas. Si sawa na inaudhi sana kwa hayo mambo. Nadhani kuna haja ya kuwaambia waache hiyo tabia. Si uislamu huo.

Screenshot_2024-12-27-08-28-45-859_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-12-27-08-28-55-938_com.twitter.android~2.jpg
 
Story zq CR kuelim ni uongo na uzuushi upuuzwe na mo salah ana haki ya kujiamulia maisha yake. Ujinga ni kuishi kwa kuwazia maamuzi na maisha ya mtu mwingine ambaye sio nafsi yako.
 
Watoto wa mnyaazi "mungu" kwenye vitu kama hivi ndio hua mnajionesha ni kiasi gani vichwa vyenu ni vitupu kabisa, kwa hiyo wewe mswahili mmoja uliekaririshwa kiarabu unajikuta unaijua dini kuliko Mo Salah 🤔 alafu Ronaldo wewe ndio ulimsilimisha au 🤔 kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo 🚮🚮
 
Binafsi sioni kama ni dhambi kwa Muislam kusherehekea sikukuu ya Christmas, au kwa Mkristo kusherehekea sikukuu ya Eid.

By the way, Mo Salah ni mchezaji mkubwa na maarufu, mwenye mashabiki wa dini zote. Hivyo yuko sahihi kufanya vile anvyo ona inafaa. Udini na ubaguzi wa aina yoyote ile hauna nafasi kwenye dunia ya sasa.
 
FaizaFoxy alishaandika akifurahi sana kuwa CR. Kasilimu. Several times tumekuwa tukifurahia kuwa tumepata bonge la mtu katika uislamu. Lakini namwona bado anasheherekea Christmas na familia yake. Hii inakuaje? Mi nashindwa kuelewa kabisa. Hii imekaaje kaaje?

Huyu Mo. Salah ni muislamu kabisa. Naye anasherehekea Christmas tena kila mwaka. Je ameamua kuudhi tu watu kwa makusudi? Ingawa wanamtetea kuwa ni haki yake umaarufu ni wake hakuna aliyemsaidia kufika hapo so pia asitumike kiimani.

Lakini mimi binafsi sioni kama wanavyofanya ni sawa. Hiyo si sawa kabisa hawakupaswa kuonesha anything about christmas. Si sawa na inaudhi sana kwa hayo mambo. Nadhani kuna haja ya kuwaambia waache hiyo tabia. Si uislamu huo.

View attachment 3186017View attachment 3186018
Mambo mengine ni mtizamo tu.

Huwa nawaoneaga huruma nguruwe unakuta anafugwa kwenye kachumba kadogo hata kugeuka hawezi, kachafu siku akifunguliwa anaenda kupigwa kisu.

Chakushangaza zaidi ni pale mtu mwenye ufahamu anajitengenezea zizi lake mwenyewe.

Mkuu dini inapaswa kukufundisha upendo sio kinyume chake kwasababu Mungu ni mmoja na viumbe wote ni wake, sasa hakuna point ya kuudhika.
Je ameamua kuudhi tu watu kwa makusudi?
Kama kuna watu wanaudhika... basi watumbue walimu waliowakuza kiimani waliwaharibu badala ya kuwajenga kiimani na walikosea sana
 
Mambo mengine ni mtizamo tu.

Huwa nawaoneaga huruma nguruwe unakuta anafugwa kwenye kachumba kadogo hata kugeuka hawezi, kachafu siku akifunguliwa anaenda kupigwa kisu.

Chakushangaza zaidi ni pale mtu mwenye ufahamu anajitengenezea zizi lake mwenyewe.

Mkuu dini inapaswa kukufundisha upendo sio kinyume chake kwasababu Mungu ni mmoja na viumbe wote ni wake, sasa hakuna point ya kuudhika.

Kama kuna watu wanaudhika... basi watumbue walimu waliowakuza kiimani waliwaharibu badala ya kuwajenga kiimani na walikosea sana
MUNGU SI MMOJA. KILA DINI/MTU ANA MUNGU WAKE.
 
Watoto wa mnyaazi "mungu" kwenye vitu kama hivi ndio hua mnajionesha ni kiasi gani vichwa vyenu ni vitupu kabisa, kwa hiyo wewe mswahili mmoja uliekaririshwa kiarabu unajikuta unaijua dini kuliko Mo Salah 🤔 alafu Ronaldo wewe ndio ulimsilimisha au 🤔 kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo 🚮🚮
Usiwe mbishi. FaizaFoxy mara kadhaa ameandika nyuzi humu jinsi CR 7 alivyosilimu. Na tukafanya na sherehe. Wewe upo Tanzania unambishia faiza yupo huko kwa waarabu? Acha ubishi wa kijinga wewe
 
Kila mmoja atajua na Mungu wake.. vya watu visikiumize kichwa zaidi imarisha imani na matendo yako kwa Mungu unaemwamini
 
FaizaFoxy alishaandika akifurahi sana kuwa CR. Kasilimu. Several times tumekuwa tukifurahia kuwa tumepata bonge la mtu katika uislamu. Lakini namwona bado anasheherekea Christmas na familia yake. Hii inakuaje? Mi nashindwa kuelewa kabisa. Hii imekaaje kaaje?

Huyu Mo. Salah ni muislamu kabisa. Naye anasherehekea Christmas tena kila mwaka. Je ameamua kuudhi tu watu kwa makusudi? Ingawa wanamtetea kuwa ni haki yake umaarufu ni wake hakuna aliyemsaidia kufika hapo so pia asitumike kiimani.

Lakini mimi binafsi sioni kama wanavyofanya ni sawa. Hiyo si sawa kabisa hawakupaswa kuonesha anything about christmas. Si sawa na inaudhi sana kwa hayo mambo. Nadhani kuna haja ya kuwaambia waache hiyo tabia. Si uislamu huo.

View attachment 3186017View attachment 3186018
Soka si ni haram Kwa waislam!?? Si wachezaji wote waislamu waache kucheza Kwanza kabla ya kumlaumu Salah!?? Waache kucheza mchezo ambao ni haram Kwa mnyaazi....
 
Amekuambia anasheherekea? Ikiwa ni mahali wamejikuta tu wapepumzika itakuwaje?

Ila mnapenda sana kujitenga, ndiyo maana Ibrahim akaamua kumfukuzia Ishmael jangwani.

Ohoo umechoma bisu kwenye mfupa!
 
Back
Top Bottom