Kwa hiyo akiwa kwa waarabu ndio atakacho kiandika humu basi ni kweli ๐ค hayo ndio madhara ya kutumia kichwa kama kontena la kuhifadhia mate badala ya akili ๐ฎ๐ฎUsiwe mbishi. FaizaFoxy mara kadhaa ameandika nyuzi humu jinsi CR 7 alivyosilimu. Na tukafanya na sherehe. Wewe upo Tanzania unambishia faiza yupo huko kwa waarabu? Acha ubishi wa kijinga wewe
Nguvu ni moja, ni ile ile(Mungu). tofauti unazoziona katika jamii ni viwakilishi vinavyoiwakilisha nguvu kuu.MUNGU SI MMOJA. KILA DINI/MTU ANA MUNGU WAKE.
Watoto wa mnyaazi "mungu" kwenye vitu kama hivi ndio hua mnajionesha ni kiasi gani vichwa vyenu ni vitupu kabisa, kwa hiyo wewe mswahili mmoja uliekaririshwa kiarabu unajikuta unaijua dini kuliko Mo Salah ๐ค alafu Ronaldo wewe ndio ulimsilimisha au ๐ค kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo ๐ฎ๐ฎ
Soka si ni haram Kwa waislam!?? Si wachezaji wote waislamu waache kucheza Kwanza kabla ya kumlaumu Salah!?? Waache kucheza mchezo ambao ni haram Kwa mnyaazi....
Na wote Idd hawavaagi hata kibarakashehee sembuse Kanzu ๐๐๐View attachment 3186059
FaizaFoxy alishaandika akifurahi sana kuwa CR. Kasilimu. Several times tumekuwa tukifurahia kuwa tumepata bonge la mtu katika uislamu. Lakini namwona bado anasheherekea Christmas na familia yake. Hii inakuaje? Mi nashindwa kuelewa kabisa. Hii imekaaje kaaje?
Huyu Mo. Salah ni muislamu kabisa. Naye anasherehekea Christmas tena kila mwaka. Je ameamua kuudhi tu watu kwa makusudi? Ingawa wanamtetea kuwa ni haki yake umaarufu ni wake hakuna aliyemsaidia kufika hapo so pia asitumike kiimani.
Lakini mimi binafsi sioni kama wanavyofanya ni sawa. Hiyo si sawa kabisa hawakupaswa kuonesha anything about christmas. Si sawa na inaudhi sana kwa hayo mambo. Nadhani kuna haja ya kuwaambia waache hiyo tabia. Si uislamu huo.
View attachment 3186017View attachment 3186018
Mbona mm nasheherekea Idd, wkt sio musilim.FaizaFoxy alishaandika akifurahi sana kuwa CR. Kasilimu. Several times tumekuwa tukifurahia kuwa tumepata bonge la mtu katika uislamu. Lakini namwona bado anasheherekea Christmas na familia yake. Hii inakuaje? Mi nashindwa kuelewa kabisa. Hii imekaaje kaaje?
Huyu Mo. Salah ni muislamu kabisa. Naye anasherehekea Christmas tena kila mwaka. Je ameamua kuudhi tu watu kwa makusudi? Ingawa wanamtetea kuwa ni haki yake umaarufu ni wake hakuna aliyemsaidia kufika hapo so pia asitumike kiimani.
Lakini mimi binafsi sioni kama wanavyofanya ni sawa. Hiyo si sawa kabisa hawakupaswa kuonesha anything about christmas. Si sawa na inaudhi sana kwa hayo mambo. Nadhani kuna haja ya kuwaambia waache hiyo tabia. Si uislamu huo.
View attachment 3186017View attachment 3186018
Hawaendeshwi na hisia za mtu.FaizaFoxy alishaandika akifurahi sana kuwa CR. Kasilimu. Several times tumekuwa tukifurahia kuwa tumepata bonge la mtu katika uislamu. Lakini namwona bado anasheherekea Christmas na familia yake. Hii inakuaje? Mi nashindwa kuelewa kabisa. Hii imekaaje kaaje?
Huyu Mo. Salah ni muislamu kabisa. Naye anasherehekea Christmas tena kila mwaka. Je ameamua kuudhi tu watu kwa makusudi? Ingawa wanamtetea kuwa ni haki yake umaarufu ni wake hakuna aliyemsaidia kufika hapo so pia asitumike kiimani.
Lakini mimi binafsi sioni kama wanavyofanya ni sawa. Hiyo si sawa kabisa hawakupaswa kuonesha anything about christmas. Si sawa na inaudhi sana kwa hayo mambo. Nadhani kuna haja ya kuwaambia waache hiyo tabia. Si uislamu huo.
View attachment 3186017View attachment 3186018
Mjibu mtu wa inzi, kuna una hoja.Hatumtambui.
Ni nabii issa.kama ulivyosema.Na nabii issa bin mariam ni nani?
Believers with big minds..!!!FaizaFoxy alishaandika akifurahi sana kuwa CR. Kasilimu. Several times tumekuwa tukifurahia kuwa tumepata bonge la mtu katika uislamu. Lakini namwona bado anasheherekea Christmas na familia yake. Hii inakuaje? Mi nashindwa kuelewa kabisa. Hii imekaaje kaaje?
Huyu Mo. Salah ni muislamu kabisa. Naye anasherehekea Christmas tena kila mwaka. Je ameamua kuudhi tu watu kwa makusudi? Ingawa wanamtetea kuwa ni haki yake umaarufu ni wake hakuna aliyemsaidia kufika hapo so pia asitumike kiimani.
Lakini mimi binafsi sioni kama wanavyofanya ni sawa. Hiyo si sawa kabisa hawakupaswa kuonesha anything about christmas. Si sawa na inaudhi sana kwa hayo mambo. Nadhani kuna haja ya kuwaambia waache hiyo tabia. Si uislamu huo.
View attachment 3186017View attachment 3186018