Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huo ni uwanja wa Mo sio simba, kuna siku mtaenda pale kufanya mazoezi mtakufukuzwa na watoto wa MoSimba baba Lao
Japo ka sentensi kamoja basi ka pongezi Shadeeya msijisikie vibaya🤣🤣🤣Mtani kwani mlivyotambaga mpaka na wengine wakavua viatu kisha kulala hapo Uwanjani na kujifotoa si ulikuwa vivi hivi huu Uwanja au kuna kilichoongezeka hapo Mtani?
Eti "Good move". Lol.
Mtani hivyo kila mkijisikia tu munauzindua upya uwanja eee?
Hebu hukooo. Tulikuwa busy na holiday vp kuna jipya Mtani?
Sasa hiyo picha si ya kitambo jamani Mtani au ni mpya hiyo?Hatujazindua mtani acha kuweweseka ni picha imetumwa tu[emoji16]
Hadi ropo ropo wao anamkubali. Lol
Nawaza tu Mtani wako hapa hivyo kipindi chote hicho ulikuwa haujaanza kutumika tu ama? 🤔🤔Hatujazindua mtani acha kuweweseka ni picha imetumwa tu[emoji16]
Ropo ropo anamkubali kweli,ila kusema hadharani yuko kimkakati zaidiHadi ropo ropo wao anamkubali. Lol
😀😀Ropo ropo anamkubali kweli,ila kusema hadharani yuko kimkakati zaidi
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
MO Arena is the bestHuu uwanja ungeitwa tu jina la
"MO Arena"
Ingependeza sana, sio tu kwa kumpa heshima muwekezaji mwenye mapenzi na Simba, bali pia jina hili ni fupi na linapendeza kutamkwa.
Timu nyingi duniani ukiacha azam, majina ya viwanja vyake hayafanani na jina la timu husika.
Neno "MO Simba Arena" halivutii sana.
Jamani twendeni "MO Arena" it is [emoji106] bumbum
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani umesahau tuliambiwa tupige vi g e l e g e l e au ushasahau.😜 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Bado tunaishi kikorona korona
Pametengenezwa kwanza mahali pa kufundishia namna ya kutandaza soka Shadeeya, tena kwa viwango haswaa. Majukwaa yatakuja muda si mrefuPongezi hizo kwa kitu gani mana hata majukwaa hamna. 😎😎😎
Au kwa hizo nyasi.
Swali gani sasa hili Mtani wakati mie naishi Nakapanya? 😎😎Hvi ule uwanja wa Jangwani maji yamekauka!?? Shadeeya
Cha ajabu nyie ndio mnayaona haya yote Mtani. Lol.Kuna timu zina shida jamani[emoji3][emoji3]
The only thing to fear is fear itself