Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Wapi wazee wa ndala.. [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi wazee wa ndala.. [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Wote kiiiimyaaaa🤣🤣🤣Wapi wazee wa ndala.. [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Jr[emoji769]
Ndio mnavyodanganyana lol.Pametengenezwa kwanza mahali pa kufundishia namna ya kutandaza soka Shadeeya, tena kwa viwango haswaa. Majukwaa yatakuja muda si mrefu
Nitakupeleka sikumoja ukauone uwanja Shadeeya. Simba hainaga longolongo. Nyie sasa ndio mnaingizwa chaka na hao wazungu feki. Eti "mshauri wa La Liga"🤣🤣🤣. Umesikia wapi hicho cheo?😀😀😀Ndio mnavyodanganyana lol.
Mooo mjanja yule.
Nitakupeleka sikumoja ukauone uwanja Shadeeya. Simba hainaga longolongo. Nyie sasa ndio mnaingizwa chaka na hao wazungu feki. Eti "mshauri wa La Liga"🤣🤣🤣. Umesikia wapi hicho cheo?[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwani kwenye App yenu hamjadili masuala ya uwanja wenu kongwe mtani!??Swali gani sasa hili Mtani wakati mie naishi Nakapanya? [emoji41][emoji41]
Cha ajabu nyie ndio mnayaona haya yote Mtani. Lol.
Wacha ituuue tu.
Sindano imepenya hiiWote kiiiimyaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna siku niliwapeleka wanangu viwanja vya Jangwani kwenye mkutano wa injili wa R. Bonnke,basi watoto kwa udadisi wao wakaenda kuangalia timu ikifanya mazoezi,walichoniuliza baadaye ni kuwa ule uwanja ni wa jeshi,mbona una matope!Hvi ule uwanja wa Jangwani maji yamekauka!?? Shadeeya
Kuna timu zina shida jamani[emoji3][emoji3]
The only thing to fear is fear itself
Gongowazi tuonyesheni arena yenu
😏😏😏😏
Dah!Makosa kuita viwanja vya mazoezi arena ile ni MO training grounds
Kumbe hadi mlokole feki unapenda timu ya wachawi kajifunze tena asili ya mikiaKuna siku niliwapeleka wanangu viwanja vya Jangwani kwenye mkutano wa injili wa R. Bonnke,basi watoto kwa udadisi wao wakaenda kuangalia timu ikifanya mazoezi,walichoniuliza baadaye ni kuwa ule uwanja ni wa jeshi,mbona una matope!
wanavua dagaa pale jangwani kipindi hiki cha masikaWapi yanga..?
acha kuchafua hali ya hewa mkuu.sahivi simba tumetulia