MO ndio aache ujinga, Pale Uwanjani wanaingia Mashabiki wa Vyama mbalimbali ambao pia ni Simba. Ajue tu kuwa Simba sio ya CCM. Tena kwa wengine tulioko Simba tunaichuklia Yanga kama CCM sababu ya mfanano wa Jezi. Asituchanganyie habariWacha ujinga wewe.
Unataka kuwa na Sauti na hauna pesa?Wanajamvi
Hivi hakuna mtu anayeweza kumsaidia Mo kuelewa kuwa Kuna tofauti ya Simba na CCM,je Mo anadhani yeye kuwa mwanaccm ndo wanasimba wote tumekuwa wanaccm na washabiki wa Magu? Kwamba Mo hana uwezo wa kutofautisha tamasha la Simba na tamasha la ccm? Mwambieni anaboa kutuletea uccm wake kwenye burudani zetu
Hii imekua too much,nidhamu ya uoga imezidiKiukweli sasa hivi bila kutaja maneno hayo ni kama kula bila kumuomba Mungu, tunakoelekea hata wenzi wetu wataambiwa waseme no kama hujataja maneno hayo.
Yanga ni timu ya wananchi na siyo ya CCM kwa nini uichukie wakati zile ni rangi tu .MO ndio aache ujinga, Pale Uwanjani wanaingia Mashabiki wa Vyama mbalimbali ambao pia ni Simba. Ajue tu kua Simba sio ya CCM. Tena kwa wengine tulioko Simba tunaichuklia Yanga kama CCM sababu ya mfanano wa Jezi. Asituchanganyie habari
AhahahaKiukweli sasa hivi bila kutaja maneno hayo ni kama kula bila kumuomba Mungu, tunakoelekea hata wenzi wetu wataambiwa waseme no kama hujataja maneno hayo.
Nyie watu wa dizaini yenu mko tayari kuuza hata utu wenu almradi tu mmeona pesa Haya kufa wewe utaletewa pesa huko makao mapya.Unataka kuwa na Sauti na hauna pesa?
Ndo ashafanya ukitaka kufa, au lia.
Nyie wabongo kila kitu mnalalamika, kama wewe moyoni mwako una chama chako, mtu akikitaja chama kingine wewe inakubadilisha nini?
Utabaki kuwa vile vile tu hata akitaje Mara mia.
Kama CCM wanataka waanzishe timu yao na dini yao siyo kutuletea siasa kwenye mpira , tunapokuwa kwenye mpira tusichanganyiwe na ulevi wa siasa , mpira ni ulevi tosha halafu mtu mwingine alete siasa zake , aangalie majukwaa ya siasa ndiyo mahali pake.Simba wote wameelekezwa na Mo wawe wanachama wa CCM.
Kama mtu hataki ahamie Lipuli.