Mo usichanganye Simba na CCM wala Magufuli

Mo usichanganye Simba na CCM wala Magufuli

Ndiyo maana wanasema kuwa watachukuwa ubingwa miaka kumi , kumbe tunashindana na chama na serikali, hili hatulikubali watuachie washindani wetu ili tuwashinde au watushinde kihalali na siyo kuingiza serikali yetu na chama tawala wao wana kazi ya kuleta maendeleo ya nchi tu.
2015 makao makuu ya utopolo jangwani kulikuwa na maposters ya ccm unajua kinachoendelea huko dodoma?
 
Wanajamvi
Hivi hakuna mtu anayeweza kumsaidia Mo kuelewa kuwa Kuna tofauti ya Simba na CCM, Je Mo anadhani yeye kuwa mwanaccm ndo wanasimba wote tumekuwa wanaccm na washabiki wa Magufuli?

Kwamba Mo hana uwezo wa kutofautisha tamasha la Simba na tamasha la CCM? Mwambieni anaboa kutuletea uccm wake kwenye burudani zetu.
Kama hutaki kaanzishe timu yako mkuu hii tumemuuzia Moo. Wacha afanye roho yake inapenda mkuu.
 
Kumbe 20b ni geresha?
Hakika tamasha limependeza saana.Doa pekee ni pale mdosi (MO ambaye ndiye Muwekezaji mkuu wa Club ya Simba) kama kawaida yao (wadosi) na heshima ya unafiki na uwoga alipotaka kuleta siasa wakati akimtambulisha mgeni rasmi Mh. Zungu (aliyekuwa Mbunge wa Ilala CCM) kwa kumfanyia kampeni na kama haitoshi akaendelea kwa kumfanyia pia kampeni Rais Magufuli...
 
Yanga na Simba ni tarehe 18/10 siku 10 kabla ya uchaguzi, hayo mengine yaache
 
Unataka kuwa na Sauti na hauna pesa?
Ndo ashafanya ukitaka kufa, au lia.
Nyie wabongo kila kitu mnalalamika, kama wewe moyoni mwako una chama chako, mtu akikitaja chama kingine wewe inakubadilisha nini?
Utabaki kuwa vile vile tu hata akitaje Mara mia.
Fact
 
MO ndio aache ujinga, Pale Uwanjani wanaingia Mashabiki wa Vyama mbalimbali ambao pia ni Simba. Ajue tu kua Simba sio ya CCM. Tena kwa wengine tulioko Simba tunaichuklia Yanga kama CCM sababu ya mfanano wa Jezi. Asituchanganyie habari
Lakini si mmempa timu na vyote vilivyomo. Kwa hiyo ana uhuru wa kufanya chochote.
 
Back
Top Bottom