njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
2015 makao makuu ya utopolo jangwani kulikuwa na maposters ya ccm unajua kinachoendelea huko dodoma?Ndiyo maana wanasema kuwa watachukuwa ubingwa miaka kumi , kumbe tunashindana na chama na serikali, hili hatulikubali watuachie washindani wetu ili tuwashinde au watushinde kihalali na siyo kuingiza serikali yetu na chama tawala wao wana kazi ya kuleta maendeleo ya nchi tu.