Mo usichanganye Simba na CCM wala Magufuli

Mo usichanganye Simba na CCM wala Magufuli

Kama yeye ni muwekezaji na analipa mishahara mnampangia chakufanya?
 
Unataka kuwa na Sauti na hauna pesa?
Ndo ashafanya ukitaka kufa, au lia.
Nyie wabongo kila kitu mnalalamika, kama wewe moyoni mwako una chama chako, mtu akikitaja chama kingine wewe inakubadilisha nini?
Utabaki kuwa vile vile tu hata akitaje Mara mia.
Umeambukizwa ujinga na mwenyekiti wako wa ccm ambaye pamoja na kuwa phD lakini bado ana behave like a layman yaani hajui ni wapi anatakiwa asimame Kama mkuu wa nchi na rais na wapi asimame Kama mwenyekiti wa ccm,pole sana I am so sorry for you dude
 
1. Simba ni taasisi ndani ya Taifa la Tanzania linaloongozwa na RAIS MAGU,

2. CCM ni chama tawala (ndio serikali) inayoongoza Taifa la Tanzania.

HIVYO, Simba na Mo hawawez kuepuka CCM na rais MAGU. Labda akili yako iwe haiko sawa haswa mambo yalivyo ktk Bara la Africa

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
1. Simba ni taasisi ndani ya Taifa la Tanzania linaloongozwa na RAIS MAGU,
2. CCM ni chama tawala (ndio serikali) inayoongoza Taifa la Tanzania.
HIVYO, Simba na Mo hawawez kuepuka CCM na rais MAGU. Labda akili yako iwe haiko sawa haswa mambo yalivyo ktk Bara la Africa

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Mkuu acha ujinga, klabu gani katika dunia hii ipo kwenye nchi isiyo na serikali Wala chama kinachoongoza hiyo serikali,huu ujinga peleka kwa unprofessional wenzio wa huko lumumba ukianzia na mwenyekiti wako
 
Kuna tofauti ya serikali,ccm na magufuli mkuu.angeishia kumtambulisha mgeni rasmi na cheo chake ingetosha
Nilichosema Mo anajua nini anafanya
Uwepo wa yeye kibiashata inategemea mahusiano yake yeye na serikali sisi washabiki ndio tunajua misimamo yetu kisiasa iko wapi
 
Mkuu acha ujinga,klabu gani katika dunia hii ipo kwenye nchi isiyo na serikali Wala chama kinachoongoza hiyo serikali,huu ujinga peleka kwa unprofessional wenzio wa huko lumumba ukianzia na mwenyekiti wako
Mkuu moja ya vitu vilivyowekezwa kwa watu wa nchi hii ni umaskini ujinga na kujikweza, hatukatai kutawaliwa tuwe huru akili zetu.
 
Ndiyo maana wanasema kuwa watachukuwa ubingwa miaka kumi , kumbe tunashindana na chama na serikali, hili hatulikubali watuachie washindani wetu ili tuwashinde au watushinde kihalali na siyo kuingiza serikali yetu na chama tawala wao wana kazi ya kuleta maendeleo ya nchi tu.
 
Back
Top Bottom