njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
2015 makao makuu ya utopolo jangwani kulikuwa na maposters ya ccm unajua kinachoendelea huko dodoma?Ndiyo maana wanasema kuwa watachukuwa ubingwa miaka kumi , kumbe tunashindana na chama na serikali, hili hatulikubali watuachie washindani wetu ili tuwashinde au watushinde kihalali na siyo kuingiza serikali yetu na chama tawala wao wana kazi ya kuleta maendeleo ya nchi tu.
Yapi si uyaandike hapa .2015 makao makuu ya utopolo jangwani kulikuwa na maposters ya ccm unajua kinachoendelea huko dodoma?
Kama hutaki kaanzishe timu yako mkuu hii tumemuuzia Moo. Wacha afanye roho yake inapenda mkuu.Wanajamvi
Hivi hakuna mtu anayeweza kumsaidia Mo kuelewa kuwa Kuna tofauti ya Simba na CCM, Je Mo anadhani yeye kuwa mwanaccm ndo wanasimba wote tumekuwa wanaccm na washabiki wa Magufuli?
Kwamba Mo hana uwezo wa kutofautisha tamasha la Simba na tamasha la CCM? Mwambieni anaboa kutuletea uccm wake kwenye burudani zetu.
kama ulishangaa alichosema mo subiri hiyo tarehe 29 yenu utazimia na maYapi si uyaandike hapa .
Hakika tamasha limependeza saana.Doa pekee ni pale mdosi (MO ambaye ndiye Muwekezaji mkuu wa Club ya Simba) kama kawaida yao (wadosi) na heshima ya unafiki na uwoga alipotaka kuleta siasa wakati akimtambulisha mgeni rasmi Mh. Zungu (aliyekuwa Mbunge wa Ilala CCM) kwa kumfanyia kampeni na kama haitoshi akaendelea kwa kumfanyia pia kampeni Rais Magufuli...
FactUnataka kuwa na Sauti na hauna pesa?
Ndo ashafanya ukitaka kufa, au lia.
Nyie wabongo kila kitu mnalalamika, kama wewe moyoni mwako una chama chako, mtu akikitaja chama kingine wewe inakubadilisha nini?
Utabaki kuwa vile vile tu hata akitaje Mara mia.
Teh teh 🎶 teh 🎶 teh teh 🤣🤣 🤣🤣 , we jamaa unatafuta ugomvi....Simba wote wameelekezwa na Mo wawe wanachama wa CCM.
Kama mtu hataki ahamie Lipuli.
hata wachezaji waligoma kupiga makofi hadi alivyowa commandTeh teh 🎶 teh 🎶 teh teh 🤣🤣 🤣🤣 , we jamaa unatafuta ugomvi....
Unaweza kuwa sahihi, ndo maana Jana watu hawakujaa, maana tuliigawa SimbA SC kwa uteamCCMZungu na uteam Mondi.Simba ni timu ya CCM kama hamtaki hamieni mtibwa mtuachie timu yetu.
Daudi, acha mambo yako. kwani GENTAMICINE anasemaje ?!Simba wote wameelekezwa na Mo wawe wanachama wa CCM.
Kama mtu hataki ahamie Lipuli.
Lakini si mmempa timu na vyote vilivyomo. Kwa hiyo ana uhuru wa kufanya chochote.MO ndio aache ujinga, Pale Uwanjani wanaingia Mashabiki wa Vyama mbalimbali ambao pia ni Simba. Ajue tu kua Simba sio ya CCM. Tena kwa wengine tulioko Simba tunaichuklia Yanga kama CCM sababu ya mfanano wa Jezi. Asituchanganyie habari
Timu aliyopewa haifungamani na Chama Chochote cha SiasaLakini si mmempa timu na vyote vilivyomo. Kwa hiyo ana uhuru wa kufanya chochote.