Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
pumbavu zako. Nenda kadanganye kibera dwellersPengine kama tungetumia nembo inayokaribia kufanana na kichwa chako ingekuwa vyema zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pumbavu zako. Nenda kadanganye kibera dwellersPengine kama tungetumia nembo inayokaribia kufanana na kichwa chako ingekuwa vyema zaidi.
Nikikumbuka picha hii huwa natokwa machozi [emoji24] [emoji24][emoji24]
View attachment 1823007
Kwani mimi ni engineer wa Mobius? Nitolee ujinga wako hapa. Mimi naquote kilichosemwa na huyo mzungu. Nimekuambia utazame video lakini hutaki kusikia. Mzungu kasema parts of the body and chassis zinaundwa Kenya ila hajaspecify ni parts zipi hizo. Kwa hivyo unitolee upumbavu wako hapa.
Kijana endelea na Kazi zako za u Cashier, kuhesabu pesa za matajiri. Issue za engineering tuachie sisi. Nimekuuliza maswali machache tu umeanza kuropoka.Wewe pundamilia unataka kupatiwa detailed information lakini uko lazy hutaki kufanya research mwenyewe. Typical Mlazy.
Hata taahira atakwambia hazifanani! Hujui lolote kuhusu Mobius, unatafuta kiki tu hapa! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Tunakujua!
Hata taahira atakwambia hazifanani! Hujui lolote kuhusu Mobius, unatafuta kiki tu hapa! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tunakujua!
Hivi nani mmiliki wa Air Excel na Dangote Industries Tanzania na zingine nyingi tu? 😂 😂 😂 Nakuzoom kwa mbali! 😁Hivi nani mmiliki wa hii bobiasi?
Hivi nani mmiliki wa Air Excel na Dangote Industries Tanzania na zingine nyingi tu? [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nakuzoom kwa mbali! [emoji16]
Kumbe unajua hakuna ubaya, hata mm nimeuliza tu, nilitaka kujua pia? 😂 😂 😂Mkuu kwani kuna ubaya kuuliza [emoji3][emoji3][emoji3]
uzi mzuri ila umharibu hapo hizo tarabu zako za Mombasa,anyway hongereni sana majiraniHii gari ya Kenya aki walahi ni beautiful sana. Mobius ni gari inayoundwa Kenya.
#BuyKenyaBuildKenya
#MadeInKenya
Wengine kutoka Kusini waendelee tu kuunda gari linaloitwa nyumbu.
View attachment 1822933
View attachment 1822936
View attachment 1822934
View attachment 1822937
View attachment 1822938