Mobius ni gari inayoundiwa Kenya, ni Moto

Mobius ni gari inayoundiwa Kenya, ni Moto

Mzee ondoa upumbavu wako hapa. Kama issue huijui kaa kimya. Shenztype
Wewe pundamilia unataka kupatiwa detailed information lakini uko lazy hutaki kufanya research mwenyewe. Typical Mlazy.
 
Kwani mimi ni engineer wa Mobius? Nitolee ujinga wako hapa. Mimi naquote kilichosemwa na huyo mzungu. Nimekuambia utazame video lakini hutaki kusikia. Mzungu kasema parts of the body and chassis zinaundwa Kenya ila hajaspecify ni parts zipi hizo. Kwa hivyo unitolee upumbavu wako hapa.

Daaawa imeingia
 
Wewe pundamilia unataka kupatiwa detailed information lakini uko lazy hutaki kufanya research mwenyewe. Typical Mlazy.
Kijana endelea na Kazi zako za u Cashier, kuhesabu pesa za matajiri. Issue za engineering tuachie sisi. Nimekuuliza maswali machache tu umeanza kuropoka.

Tulia dawa iingie vizuri.
 
Aseee....
 
Wakenya NJIA ya mwongo ni fupi..mobius ni Copy ya Chinese car Baic BJ40. Gari ambayo ya Nigeria inauzwa

Screenshot_2021-09-09-20-41-48-534_org.mozilla.firefox.jpg
 
Hata taahira atakwambia hazifanani! Hujui lolote kuhusu Mobius, unatafuta kiki tu hapa! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tunakujua!

Hivi nani mmiliki wa hii bobiasi?
 
Opening ceremony of the Kip keino classic gold series with Mobius vehicles ferrying Kenyan athletes in the stadium🇰🇪 🔥🔥 🔥
Screenshot_20210918_223723.jpg

Screenshot_20210918_223708.jpg

Screenshot_20210918_223650.jpg

Screenshot_20210918_223636.jpg
 
Hivi nani mmiliki wa Air Excel na Dangote Industries Tanzania na zingine nyingi tu? [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nakuzoom kwa mbali! [emoji16]

Mkuu kwani kuna ubaya kuuliza [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom