Model wa Tanzania aishiye SA, Daxx aja na soksi zake za viatu!

Model wa Tanzania aishiye SA, Daxx aja na soksi zake za viatu!

1474111659926-jpg.402005
nusra nijijojoe hapa mtoto huyu? ivi anakunya kweli au anafyatua kama tembo
 
Kwakweli hazitauzwa bei hyo kuanzia twenty labda kuendelea
ndo wanapofeli wabongo...!
jokate viatu alikua anauza kuanzia elf8 hadi 15...

wakati shabiki zao wengi hali zao za chini!

Wema lipstick 15000 sijui wakati team wema wengi ni wa uswazi elf 15 msingi wa sambusa....!!

hawanaga marketing manager wazuri hawa watu!
 
Najiuliza tuu, hivi hawa mamodo ni lazima kutinda nyusi au....... Ndomaana huwa wanasingiziwa wanaliwa Mmmh ya ngoswe nimuachie ngoswee
 
ndo wanapofeli wabongo...!
jokate viatu alikua anauza kuanzia elf8 hadi 15...

wakati shabiki zao wengi hali zao za chini!

Wema lipstick 15000 sijui wakati team wema wengi ni wa uswazi elf 15 msingi wa sambusa....!!

hawanaga marketing manager wazuri hawa watu!
Zimeshushwa lipstic mpk elf 7 sasa hiv
 
Back
Top Bottom