Model wa TZ Flaviana Matata ndani ya skendo nzito ya kuwemo katika jumba la xxx production Las Vegas

Aangalie tuu hicho kimbufta chake.. maana Mandingo sio mtu!..
 
Hii video kwa gharama yeyote ntaitafuta maana itakuwa ina utz kiasi
 
Hiyo ni scandal ama alienda kufanya kazi zaidi ktk hilo jumba?
 
kiranga broza akiri zina kutesa sana hadi nakuonea huruma sasa nani kakwambia utumie neno ''ANDROMEDA'' ,Hebu vilaza ambao hatujaelewa gongeni like hapa
 
kiranga broza akiri zina kutesa sana hadi nakuonea huruma sasa nani kakwambia utumie neno ''ANDROMEDA'' ,Hebu vilaza ambao hatujaelewa gongeni like hapa

Wewe unafukua makaburi tu?

Andromeda Galaxy ni galaxy ya jirani na hii yetu ya Milky Way iliyo kama 2.5 million light years from us.

Mtu akitengeneza porn na kiumbe wa kutoka hiyo galaxy labda ndiyo inaweza kuwa habari ya kushangaza, hizi porn za galaxy yetu hii ni ushuzi wa zamani sana ambao ushaacha kunuka sasa hivi.

Andromeda Galaxy - Wikipedia
 
Mkapa alikuwa bingwa wa kuongea na watu wa kawaida kama mimi badala ya kuwaambia wati 60 % ya watanzania wanakosa maji salama alikuwa anasema katika watanzania kumi watu sita hawapati maji salama .sasa umeenda ma mile milio wakati ungesema mtu kutoka mwezini ungeeleweka sana hapa shengena bar ,manzese .
 

Let us do the actual math here.

The distance to Andromeda galaxy is 2.537 million light years

The distance to the moon is 1.3 light seconds.

One year has 365.25 9days) x 24 (hours) x 60 (minutes) x 60 (seconds) = 31557600 seconds

One ligth year is 31557600 light seconds

31557600 x 2.537 million = 80061631.2 million light seconds

80061631.2 million light seconds/ 1.3 light seconds = 61585870.153846153846153846153846

You are off by a factor of 61585870.153846153846153846153846
 
Hebu fanya hivi ,anza urafiki wa karibu na mimi ,ntakufundisha jinsi ya kuachana na mahesabu na kujilia uroda mademu wa kali huku sinza ,tena ntakupeleka lungi pub kinondoni sterio utajuta muda unaotumia kuota kuboresha mifumo ya kisayansi mwenzio huwa naota matiti ya irene uwoya
 

Don't make me floss son. Ali said it ain't bragging if you did it.

Mimi sitafuti mademu, mademu wananitafuta mimi.

Wakiniona haweshi kusema "Kiranga tunakuzimia". Mimi nawaambia siku hizi ni mtawa wa Ki Buddha natafsiri vitabu vya dini kama Dhammapada, sitaki mademu.

Kuepusha ngumi tu, watu wasinipiganie.

Sasa nazungusha Macau, Azores, Ibiza, Curacao, Turks and Caicos, Copa Cabana, Angkor Wat na Las Vegas, ujanja wa Sinza niliupita 1998 tulipokuwa tunafunga muziki mkubwa Checkpoint.

Enzi tuliyofunga njia ya Mpakanjia!

Hata enzi hiyo, tuliwashusha mabinti wa Kimarekani wanatoka New York, tunawaleta Sinza Uswahilini waone pelaso la Bongo.

Wengine wanafanya safari kutoka Kampala kuja Dar. Tumewashusha mabinti wa Kampala Dar kabla ya Diamond Platnumz.

Tulikuwa hatutaki local products, tuna import wasiojua Kiswahili tu.

Huko Kinondoni natoa ufadhili wa mikopo kwa watu wanaotaka kuanzisha biashara ndogondogo, halafu nawasahaulisha kunilipa makusudi kwa sababu najua vyuma vimebana.

Nimekuacha miaka 20 nyuma kwa msingi huu.
 
"
The distance to the moon is 1.3 light seconds"

Hichi ni sawa au kuna kitu umesahau ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…