Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona sasa umodel umekuwa ni kaazi na sio kazi tena
Nilitaka kushangaaa huu uzi kumbe wewe mdo umeufufua 2014 mpaka leoSafi sana flav
Hii njia ilifanikiwa?Wenzie wanauza sembe acha nae atafute njia mbadala ya kumpatia pesaa
Mpeleke na mama ako akatafute hela,kama ni rahisi kiasi hicho...hivi mtoto wa ki tz akishoot porn shida iko wapi...hao wanaoshoot nao ni watoto wa watu...kinashangaza nini akishoot xxx demu wa kibongo? ..hivi kinachowafanya watanzania wajione so special Kila wakati nini? Hata mwendazake alikua na huu upuuzi WA kukataa mambo eti akihusisha utanzania wake...mfano kwenye chanjo za covid-19..amefanya nchi imechelewa kupata chanjo sababu ya huu ujinga...alafu we mtoa uzi unaita hii skendo!cmon!..skendo labda Kwako na family yako..
Mwenzako anatafta hela..we unaita skendo!..we Una nini? Acha ukenge...
Leta source ya habari yako sio kuchafua watu.[h=3][/h]
Mwana mitindo maarufu dunian toka Tanzania anaejulikana na jina la Flaviana Matata ametupia picha yake hiyo hapo juu inayosadikika kuwa yupo ndani mwa nyumba ya kuandaa na ku shoot video za ngono..
Mbona ni uzi wa kitambo sana mkuu😅.Leta source ya habari yako sio kuchafua watu.
JamiiForums hii inaweza kuwa defamation, mkijiridhisha kuwa hamna ukweli uzi ufungwe
HahahaNilitaka kushangaaa huu uzi kumbe wewe mdo umeufufua 2014 mpaka leo
Mama yangu anaingiaje hapa we mse.nge...nyie sukuma gang aliwaharibu jiwe aliyekuwa anahukumu Kila kitu...Hadi mnaona sahihi kuingilia Maisha ya watu...akifi.rwa mama yako ili akulishe wewe....we inakuuma nini!...au unasahau ulikotoka...Mpeleke na mama ako akatafute hela,kama ni rahisi kiasi hicho.