Model wa TZ Flaviana Matata ndani ya skendo nzito ya kuwemo katika jumba la xxx production Las Vegas

Model wa TZ Flaviana Matata ndani ya skendo nzito ya kuwemo katika jumba la xxx production Las Vegas

[h=3][/h]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]FLAVIANA KATIKA POZI(PICHA HII HAIHUSIKI YA CHINI NDIO ILIYOZUA UTATA)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]XXX PRODUCTION HOUSE{Flaviana}[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mwana mitindo maarufu dunian toka Tanzania anaejulikana na jina la Flaviana Matata ametupia picha yake hiyo hapo juu inayosadikika kuwa yupo ndani mwa nyumba ya kuandaa na ku shoot video za ngono..

Mkuu vipi hadileo mzigo haujakamilika tu? Tupia link tuone
 
[h=3][/h]

FLAVIANA KATIKA POZI(PICHA HII HAIHUSIKI YA CHINI NDIO ILIYOZUA UTATA)

XXX PRODUCTION HOUSE{Flaviana}

Mwana mitindo maarufu dunian toka Tanzania anaejulikana na jina la Flaviana Matata ametupia picha yake hiyo hapo juu inayosadikika kuwa yupo ndani mwa nyumba ya kuandaa na ku shoot video za ngono..

Kwani hio K yenu?
 
Hebu fanya hivi ,anza urafiki wa karibu na mimi ,ntakufundisha jinsi ya kuachana na mahesabu na kujilia uroda mademu wa kali huku sinza ,tena ntakupeleka lungi pub kinondoni sterio utajuta muda unaotumia kuota kuboresha mifumo ya kisayansi mwenzio huwa naota matiti ya irene uwoya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu demu anaongea vizuri mpaka raha kiswahili fulani cha kiingereza na mwengine Barbara wa Simba
 
Sikutaka tabu za kina Sikudhani Kiswahili kingi , lool. Joking.

Siku moja niko kwenye gari narudi home hapo Morocco, sasa hivi ni jengo la kampuni ya simu, Airtelnafikiri, siku hizo Ambassador Hotel.

Niko na mtoto wa Kinyamwezi Kinugu kwenye gari, basi akaja machinga na bidhaa bidhaa zake anamshobokea "shangazi hii ya leo leo nzuri sana itakufaa sana".

Mtoto wa Kinugu hajui Kiswahili anacheka tuu kafurahiii anasema "But I don't understand what you are saying, Kiranga translate please".

Nikamuona Machinga mwenyewe kafunga break ananifuata mimi anashangaa shangaa tu.

Nikamwambia Mmarekani huyo hajui Kiswahili, nikamwambia yule mtoto wanataka kukuuzia mazagazaga yao hao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zinauma had bas khaaah, kweli wee ni Kiranga mweeeeh
 
We kwani na kichaa chote hiki bado unaniona nina akili?

Ukongwe mi mkongwe mpaka pale Yesu alipolisha watu 5,000 mkate na samaki na mimi nilikuwepo, bado kidogo tu nipige naye selfie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Mama yangu anaingiaje hapa we mse.nge...nyie sukuma gang aliwaharibu jiwe aliyekuwa anahukumu Kila kitu...Hadi mnaona sahihi kuingilia Maisha ya watu...akifi.rwa mama yako ili akulishe wewe....we inakuuma nini!...au unasahau ulikotoka...
Sasa kama wewe unawaona wajinga wanaopinga vitendo vya wadada wa kitz kucheza film za porn,tena unasema kabisa it's normal kwanini swala la mzazi wako linakuuma kiasi hicho,huoni kwamba unataka kuingilia maisha yake? Maana hata awe mzee vipi hawezi kukosa category kule, anaweza wekwa kama MILF au GRANNY. Au ndo mkuki kwa nguruwe kwa bunadamu mchungu.

Habari za Sukuma gang na hii maada zinaingiliana vipi? Tafuta hela kijana usije ukafa kibudu.
 
Sasa kama wewe unawaona wajinga wanaopinga vitendo vya wadada wa kitz kucheza film za porn,tena unasema kabisa it's normal kwanini swala la mzazi wako linakuuma kiasi hicho,huoni kwamba unataka kuingilia maisha yake? Maana hata awe mzee vipi hawezi kukosa category kule, anaweza wekwa kama MILF au GRANNY. Au ndo mkuki kwa nguruwe kwa bunadamu mchungu.

Habari za Sukuma gang na hii maada zinaingiliana vipi? Tafuta hela kijana usije ukafa kibudu.
...huna hoja we mseng.e...mwacheni dada wa watu auze nyanga anavyotaka...hata mama yako hujui Kama alifi.rwa ili akukuze wewe ...Acha kuingilia Maisha ya watu...
 
Mi x naangalia madada weusi wenye mizigo..huyu siwez kumchek
 
Do Allien exists?
Kama ni hivyo kazi tunayo, unaweza kuingia hoteli yoyote nyamwezini na wenzio waliotoka wakawa wametoka ku shoot porn.

What is this place, the Tanzanian Taliban?

Hata akiamua ku shooot porn, kivyake.

Porn is sooo 1984 first of all. Atafanya kipi kipya ambacho hakijafanywa bado?

Sleep with an alien from Andromeda?
 
Huu uzi ulimchafua. Pale alikua New York ofisi za The Lions ni agency ya mambo ya modelling. Ka demu kapo smart. Mtandao wa okay.com walimtaja among 100 top African women. Kamesoma electrical engineering Arusha Tec College pale.
Sasa hivi mbona yuko hapa bongo sana hana mishe tena kule?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
[h=3][/h]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]FLAVIANA KATIKA POZI(PICHA HII HAIHUSIKI YA CHINI NDIO ILIYOZUA UTATA)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]XXX PRODUCTION HOUSE{Flaviana}[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mwana mitindo maarufu dunian toka Tanzania anaejulikana na jina la Flaviana Matata ametupia picha yake hiyo hapo juu inayosadikika kuwa yupo ndani mwa nyumba ya kuandaa na ku shoot video za ngono..

Aisee, hatari sana.
 
Back
Top Bottom