Model wa TZ Flaviana Matata ndani ya skendo nzito ya kuwemo katika jumba la xxx production Las Vegas

Model wa TZ Flaviana Matata ndani ya skendo nzito ya kuwemo katika jumba la xxx production Las Vegas

Kamatia fursa Mtanzania mwenzetu yote maisha ili mradi tu utuboe!
 
Bora auze bidhaa yake huko kuliko kuja kuiuza kwa wauza madafu wa bongo.
 
[h=3][/h]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]FLAVIANA KATIKA POZI(PICHA HII HAIHUSIKI YA CHINI NDIO ILIYOZUA UTATA)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]XXX PRODUCTION HOUSE{Flaviana}[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mwana mitindo maarufu dunian toka Tanzania anaejulikana na jina la Flaviana Matata ametupia picha yake hiyo hapo juu inayosadikika kuwa yupo ndani mwa nyumba ya kuandaa na ku shoot video za ngono..

Dah...mkuu.. Kuna uzi uliuleta mwenyewe...kitambo kidogo...labda uusome ujikumbushe....maandiko yako mwenyeweeee[emoji87]

Kwanini watanzania wengi wana majungu na fitina? - JamiiForums
 
[h=3][/h]
]
XXX PRODUCTION HOUSE{Flaviana}[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mwana mitindo maarufu dunian toka Tanzania anaejulikana na jina la Flaviana Matata ametupia picha yake hiyo hapo juu inayosadikika kuwa yupo ndani mwa nyumba ya kuandaa na ku shoot video za ngono..
Kama umeweza kulibaini hilo jumba na kubainisha kifanyikacho humo, basi utakuwa na uhakika na unachosema, mwizi kukamatwa na ...
 
Don't make me floss son. Ali said it ain't bragging if you did it.

Mimi sitafuti mademu, mademu wananitafuta mimi.

Wakiniona haweshi kusema "Kiranga tunakuzimia". Mimi nawaambia siku hizi ni mtawa wa Ki Buddha natafsiri vitabu vya dini kama Dhammapada, sitaki mademu.

Kuepusha ngumi tu, watu wasinipiganie.

Sasa nazungusha Macao, Azores, Ibiza, Curacao, Turks and Caicos, Copa Cabana, Angkor Wat na Las Vegas, ujanja wa Sinza niliupita 1998 tulipokuwa tunafunga muziki mkubwa Checkpoint.

Enzi tuliyofunga njia ya Mpakanjia!

Hata enzi hiyo, tuliwashusha mabinti wa Kimarekani wanatoka New York, tunawaleta Sinza Uswahilini waone pelaso la Bongo.

Wengine wanafanya safari kutoka Kampala kuja Dar. Tumewashusha mabinti wa Kampala Dar kabla ya Diamond Platnumz.

Tulikuwa hatutaki local products, tuna import wasiojua Kiswahili tu.

Huko Kinondoni natoa ufadhili wa mikopo kwa watu wanaotaka kuanzisha biashara ndogondogo, halafu nawasahaulisha kunilipa makusudi kwa sababu najua vyuma vimebana.

Nimekuacha miaka 20 nyuma kwa msingi huu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuna import wasiojua kiswahili
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuna import wasiojua kiswahili
Sikutaka tabu za kina Sikudhani Kiswahili kingi , lool. Joking.

Siku moja niko kwenye gari narudi home hapo Morocco, sasa hivi ni jengo la kampuni ya simu, Airtelnafikiri, siku hizo Ambassador Hotel.

Niko na mtoto wa Kinyamwezi Kinugu kwenye gari, basi akaja machinga na bidhaa bidhaa zake anamshobokea "shangazi hii ya leo leo nzuri sana itakufaa sana".

Mtoto wa Kinugu hajui Kiswahili anacheka tuu kafurahiii anasema "But I don't understand what you are saying, Kiranga translate please".

Nikamuona Machinga mwenyewe kafunga break ananifuata mimi anashangaa shangaa tu.

Nikamwambia Mmarekani huyo hajui Kiswahili, nikamwambia yule mtoto wanataka kukuuzia mazagazaga yao hao.
 
Don't make me floss son. Ali said it ain't bragging if you did it.

Mimi sitafuti mademu, mademu wananitafuta mimi.

Wakiniona haweshi kusema "Kiranga tunakuzimia". Mimi nawaambia siku hizi ni mtawa wa Ki Buddha natafsiri vitabu vya dini kama Dhammapada, sitaki mademu.

Kuepusha ngumi tu, watu wasinipiganie.

Sasa nazungusha Macao, Azores, Ibiza, Curacao, Turks and Caicos, Copa Cabana, Angkor Wat na Las Vegas, ujanja wa Sinza niliupita 1998 tulipokuwa tunafunga muziki mkubwa Checkpoint.

Enzi tuliyofunga njia ya Mpakanjia!

Hata enzi hiyo, tuliwashusha mabinti wa Kimarekani wanatoka New York, tunawaleta Sinza Uswahilini waone pelaso la Bongo.

Wengine wanafanya safari kutoka Kampala kuja Dar. Tumewashusha mabinti wa Kampala Dar kabla ya Diamond Platnumz.

Tulikuwa hatutaki local products, tuna import wasiojua Kiswahili tu.

Huko Kinondoni natoa ufadhili wa mikopo kwa watu wanaotaka kuanzisha biashara ndogondogo, halafu nawasahaulisha kunilipa makusudi kwa sababu najua vyuma vimebana.

Nimekuacha miaka 20 nyuma kwa msingi huu.
Kitanga tunakuzimia hehehehehe .........mademu hawapendi wenye akili niamini ,ila Kuna kaukongwe nimekaona asee umetisha we jamaa Hadi vya ubudha umo khaa ngoja nimalizie hizi bia kwanza
 
Kitanga tunakuzimia hehehehehe .........mademu hawapendi wenye akili niamini ,ila Kuna kaukongwe nimekaona asee umetisha we jamaa Hadi vya ubudha umo khaa ngoja nimalizie hizi bia kwanza
We kwani na kichaa chote hiki bado unaniona nina akili?

Ukongwe mi mkongwe mpaka pale Yesu alipolisha watu 5,000 mkate na samaki na mimi nilikuwepo, bado kidogo tu nipige naye selfie.
 
[h=3][/h]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]FLAVIANA KATIKA POZI(PICHA HII HAIHUSIKI YA CHINI NDIO ILIYOZUA UTATA)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]XXX PRODUCTION HOUSE{Flaviana}[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mwana mitindo maarufu dunian toka Tanzania anaejulikana na jina la Flaviana Matata ametupia picha yake hiyo hapo juu inayosadikika kuwa yupo ndani mwa nyumba ya kuandaa na ku shoot video za ngono..

Hiyo ni kazi tu kwa wenzetu km kaz zengine
 
Kupiga picha za uchi sio tabu, tabu kupiga bure!.
 
We kwani na kichaa chote hiki bado unaniona nina akili?

Ukongwe mi mkongwe mpaka pale Yesu alipolisha watu 5,000 mkate na samaki na mimi nilikuwepo, bado kidogo tu nipige naye selfie.
Mkuu wenye akili wengi huwa Kama vichaa ila mi huwa nawaelewa na kuwavumbua ..najamaa angu yaani sijawahi mahinda argument alikuwa best student mwaka wangu pale mlimani mi nikiwa na ka gpa 3.3 ,yaani jamaa anajua uchumi sjapata ona anafatiliaga Hadi uchumi wa Afghanistan namwambia kwani huoni shape ya Vera sindika ..ila unakuta watu Kama sisi tumeandikiwa simple accomplishment mi habari za dunia nazipata baa tu cna muda wa kufatilia jalada la the economist badala ya page ya mange
 
Back
Top Bottom