YuleBoy2024
Member
- Aug 23, 2024
- 21
- 52
Vipi anko mbona unakimbia game. Miezi migumu hii subiri vyuo vifunguliweWakuu napangisha frame yangu kariakoo iko mtaa wa Masasi jirani na hii barabara kuu ya Msimbazi na jirani na kituo cha mwendokasi cha Msimbazi.Inafaa kwa Simu, Vifaa vya Simu au Ufundi wa Simu. Kama utahitaji tuonane inbox.
sikimbii bwasheee nimepata sehemu nyingineVipi anko mbona unakimbia game. Miezi migumu hii subiri vyuo vifunguliwe
walibana wameachia buanaaHuu hapa sasaπ€
Habari ndugu, itapendeza zaidi ukielezea ukubwa wa frame, bei, malipo ya muda gani, ikiwezekana ambatanisha na picha.
Fanya hilosawa kiongozi
wa kwanza hawakuuachia kabisa hawa jamaaUzi umewekewa guard ili moderator asifute ππππ
Umepata Uhuru Plaza ama nini. Kivyovyote vile all the bestsikimbii bwasheee nimepata sehemu nyingine