Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,305
Halafu nyieeeeeeeee!
Mnasikia raha tu.
ukiwaon wamekuja kwa swaga izi bas ujue JANA WAMELAZWA MZUNGU WA 4 ..bas hasira zooote znakuja kwa wadada wa jf...yaone vle sjui yakoje....shost nakwambia naanza twshen ya NGUMI KWA FRANCIS CHEKA ..then naanza kuwatafuta awa akina sokomoko na wenzake yan ntawadunda acha tu....ntawakomesha...una namba za francis cheka apo????ntumie basi