Mzungu alikuomba radhi lini hukumsikia raisi wa FIFA siku ile alisema wazungu wanatakiwa wawaombe radhi waafrika kwa waliyowafanyia uliwasikia waliomba hii vita iligeuzwa kati ya Christian na Islam sikatai inawezekana Morocco walikosea ila sidhani kama kweli ilipaswa kuwa issue kiasi kile kwani alivyosema haibadilishi uhalisia kwamba wao ni waafrika ni ujinga tu na ujuha wa mtu mweusi aliyoyafanya Argentina kwa waafrika hakutakiwa kuwa na shabiki hata mmoja kutoka Africa lakini kuna majuha kibao wanashabikia Argentina na team za wazungu ujinga afrika kwa ujinga tulitakiwa tupigwe bomu wote tufe wazaliwe wengine wenye akili hiki kizazi cha sasa kishapoteza direction.