Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna lolote kufungwa lazima mfungwe tena sio chini ya bao 1, unatafuta kisingizio cha kutokuwepo JF. Mods msimsikilize mpuuzieni tu.
Nina uhakika yanga lazima itashinda mechi yake dhidi ya simba (aka mbumbumbu fc)endapo tutafungwa,mods naomba mnipAtie ban ya wiki moja kwa kosa la kuwadaanganya watz naupotoshaji kinyume na sheria ya nchi ya mwaka 1935,shria no 5 kiifungu no 2,kipengere A
Nina uhakika Yanga lazima itashinda mechi yake dhidi ya Simba (a.k.a Mbumbumbu FC).
Endapo tutafungwa, mods naomba mnipAtie ban ya wiki moja kwa kosa la kuwadaanganya Watanzania na upotoshaji kinyume na sheria ya nchi ya mwaka 1935, sheria no 5 kifungu no 2, kipengere A.
naona umesahau kifungu kidogo cha i, ibara ya 3asheria ya nchi ya mwaka 1935, sheria no 5 kifungu no 2, kipengere A.
Kwani msimu uliopita mlichukua point ngapi kwa Yanga?
Mkuu yahoo nikiwa kama mwanafamilia wa Yanga damu, mtiifu kwa timu yangu niipendayo kwa mahaba ya dhati. Naungana nawewe tukifungwa Yanga jumapili tunaomba ban.
Asiye Yanga haimuhusu hii, tuacheni na Yanga yetu.