Mods naomba ban, tafadhali

Status
Not open for further replies.

Mbona mikia fc mnajiamini sana kwenye mechi ya jumapili?
Yanga ikifungwa siku hiyo naomba nami wanaopumzisha watu wanipuzishe japo kwa siku tatu ili nimsindikize mkuu yahoo kwenye kifungo alichoomba.

Mkuu yahoo nikiwa kama mwanafamilia wa Yanga damu, mtiifu kwa timu yangu niipendayo kwa mahaba ya dhati. Naungana nawewe tukifungwa Yanga jumapili tunaomba ban.
Asiye Yanga haimuhusu hii, tuacheni na Yanga yetu.
Moderator Invisible

Mnaombwa mje huku haki itendeke tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…