MoDs piga ban wafuatao tafadhali:

MoDs piga ban wafuatao tafadhali:

Bishanga nitake razi jamani mana mm nimekuja walishaachana na ndio nishamuweka ktk himaya yangu atakaye taka kuingilia ataomba angepigana na waarabu(mana ndio wanavisa visivoisha ingawa silaha hawana )kuliko mm
 
asa Bishanga mihela kwa nani? kwa Fixed Point? wala usisubutu. Niulize mimi. Kwa cacico? Huyo ana 'mguu wa kuku' kabisa. uliza aliupata kwa sababu gani? sio matwins. charminglady ndo ivo tena..

sasa ukiwatishia na lunch za kempisk, wao wanajua kabisa hizi kamba afu watakupeleka ukweli...ukinipigia simu umekwama apo ujue siji. ili ujifunze

ndo hvo tena nini mkuu, hebu funguka
 
Bishanga nitake razi jamani mana mm nimekuja walishaachana na ndio nishamuweka ktk himaya yangu atakaye taka kuingilia ataomba angepigana na waarabu(mana ndio wanavisa visivoisha ingawa silaha hawana )kuliko mm

Kwa hiyo wewe na saint ivuga mko razi mjilipue umma ujue kuwa nyie dam dam?
 
Back
Top Bottom