Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,075
- Thread starter
- #241
Bishanga ndio maana The secretary alisema kwamba wewe unapenda uchonganishi........... sasa nimeamini..............LOL
Alokwambia usivae kitendea kazi nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bishanga ndio maana The secretary alisema kwamba wewe unapenda uchonganishi........... sasa nimeamini..............LOL
Mlikutana wapi we na platozoon?
Mlikutana wapi we na platozoon?
Unapenda kuongea mitusi sio?
Nani na nani wamelewa? Booh!
jf kama kilivyo chombo kingine cha habari/mawasiliano majukumu yake makuu ni:
1.kuhabarisha
2.kuelimisha
3.kuburudisha
mfano: jukwaa la siasa limejikita zaidi katika kuhabarisha na kuelimisha ,mmu iko kikuelimisha zaidi,chi chat ni full burudani,hapa chichat bongo ndo zinapigwa massage.
Honey charminglady hivi mbona huyu mzee wa rubisi anatutafuta sana..tulianzishe nini?
Kaizer nipo mwana.................kesho kama kawa, nitakuwepo ya saa tanohahahaaa....unakumbuka jpili tunakutana wapi eeh...afu Elizabeth Dominic sijui yuko wapi leo?
Fixed Point zimekaribiwa haswa lakini due to some unavoidable circumstances ile ya pili nitashindwa, nitakuja ya saa tano..........see you therenakumbuka mkuu. Elizabeth Dominic atakuwa anajiandaa na jumapili, ha haaaaaaaaaa, siku zimekaribia ujue
nshakujua weye ni nani,tulipishana mahali,lol!