Halafu TS mbona hujajibu PM yangu juzini kuPM? nimekwambia mi bado mdogo hata ku Pm siwezi
Halafu TS mbona hujajibu PM yangu juzi
Bishanga ndio maana The secretary alisema kwamba wewe unapenda uchonganishi........... sasa nimeamini..............LOL
platozoom nani yako? naona unatafuta ban ya nguvu sasa charminglady.
Mbo sijawahi ona PM yako!
asa Bishanga mihela kwa nani? kwa Fixed Point? wala usisubutu. Niulize mimi. Kwa cacico? Huyo ana 'mguu wa kuku' kabisa. uliza aliupata kwa sababu gani? sio matwins. charminglady ndo ivo tena..
sasa ukiwatishia na lunch za kempisk, wao wanajua kabisa hizi kamba afu watakupeleka ukweli...ukinipigia simu umekwama apo ujue siji. ili ujifunze
Sijakusikia vizuri
naomba umwambie mzee mwenzio aache kunitongoza tena hadharani mi bado KALULU mi hanielewi labda we atakusikiaBishanga ndio maana The secretary alisema kwamba wewe unapenda uchonganishi........... sasa nimeamini..............LOL
Hapa hata kama huna bandama, utajikuta unakenua tu.
Aaahhhh sana tuuu aiseee by the time unafunga JF kuingia kulala mbavu zote zinauma!
Bishanga nitake razi jamani mana mm nimekuja walishaachana na ndio nishamuweka ktk himaya yangu atakaye taka kuingilia ataomba angepigana na waarabu(mana ndio wanavisa visivoisha ingawa silaha hawana )kuliko mm