MoDs piga ban wafuatao tafadhali:

Mkuu we subiri tu kadi ya harusi,mambo yakiiva niilete wapi? Kuna mahali nimeelekeza mtutu karibu na koki.
jf raha sana mkuu,ukitaka kuwowa humu unawowa (hasa kama una hela ndefu).
 
Bishanga, mzima wewe, kadogoo ubatizo wake lini, au sweetlady kampeleka mtoto kwenye nyumba za kulelewa mayatima?? mimi utaisoma akaivu weeeeee, chonde usije toka povu tu mwisho wa siku!

tena umenikumbusha: sweetlady: kila mwaka unazaa wakati kazi huna na nitonye kamshahara kenyewe ndo hako ka udereva wa daladala,kula ban.
 
Last edited by a moderator:
i cant believ my legs, nimenusurika ktk tundu la sindano. platozoom uko wapi swthat tukashereke hakiya mbuzi leo natoroka kibaruan hata km ridandansi nipewe tu!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu we subiri tu kadi ya harusi,mambo yakiiva niilete wapi? Kuna mahali nimeelekeza mtutu karibu na koki.
jf raha sana mkuu,ukitaka kuwowa humu unawowa (hasa kama una hela ndefu).

hahahah kadi ilete hapa hapa...sasa we elekeza mtutu ukute hakunamo risasi! utakomajeee!
 
usijali my dear, ntawalinda, hata ikibidi kwa manati
lolest Fixed Point u have made my day kabisaaaaaaaaaaa! now i can sleep, kujua mkwe wamepata, tena manati yenyewe nakushauri kachukulie chalinze, manati ya mninga! ushawahi kuona weye?
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh Fixed Point....wakikutaka wanakutaka wao sio ubishooo......nimemkumbuka Gmpoleee na sredi yake ya GX 100 ya kuazima kutongozea lol (sijui hakajafunga shule au hadi sensa?)
Kaizer acha kumwingiza mkenge FP bana,mihela muhimu aisee kwenye malavidavi,we siku ukiishiwa ndo utajua mbivu na mbichi.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…