Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,962
- 721
Mkuu ni kweli jamaa kiasi fulani ame cross boundary, lakini ni nafuu huyu hata akivua shati anaonekana ni mtu wa mazoezi. Hivi angekuwa yule mbunge yule mkuu wa TOT, nanihii yule...mnamjua, ana tumbo za bia ingekuwaje?
Heri mimi sijasema, chubwi, chubwi chubwi.....
🙂...🙂....🙂