Huu ni ukereketwa, uzalendo au mananii yalizidi!! Ni kweli kabisa kila Mtanzania mpenda maendeleo amefurahia ushindi wa Taifa Stars. Lakini nimeshangaa kuona hii picha hapo chini na kuona Mh. Dewji akionyesha BOXER yake. Kwa kiongozi wa jamii kuonyesha kitu kama hicho kwa mtazamo wangu haileti picha nzuri. Tusianze tukajikuta tunaanza hata ku-promote vitu ambavyo havina maana kwa jamii, mfano mitepesho n.k
Haya ni maoni yangu, wewe mwenzangu unasemaje? Angalia hiyo picha hapo chini. Bonyeza palipoandikwa Dewji hapo chini...