Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Hii hoja yako haina mashiko.Timu yeye Wachezaji wakubwa inacheza Kombe la Shirikisho, halafu Timu ya Wachezaji mizigo ipo Kombe la CAFCL.
Kasema wapiUbahili wa Mwamedi Ndio chanzo Cha yote haya. Halafu MASHABIKI mbumbumbu wanamtupia KOCHA LAWAMA.
Simba Ina wachezaji WATANO TU. Inonga, Chama, Saido, Manula, Kapombe na Shabalala .
WACHEZAJI MIZIGO WENGI MNO.
Kanute, Banda, Ottara, Okwa, Onyango Umri, Sawadogo, Baleke.
WAZAWA.
Nyoni, Boko, KIBU, Kapama, Mkude, , Gadiel Michael, KYOMBO, nk....
Imagine una kiungo MZAMIRU na kanute, ucheze na Mamelodi!!!??
Viungo wasiojua position Yao.
Viungo wasiojua kupiga pass.
Viungo wasiopiga mashuti.
Wasioweza pass za mwisho nk.
Yanga Ina kiungo
BANGALA NA AUCHO top top top players.
Wachezaji WAKUBWA mno.
FISTON MAYERE MMOJA NI SAWA NA PHILI, BALEKE,BOKO ,KYOMBO, KIBU NK.
MO ANAIHUJUMU SANA SIMBA.
KOCHA ASIGUSWE KABISA
Issue sio kuwa kamati ya usajali issue ni kutoa hela za usajiliMo ndie Mwenyekiti wa kamati ya usajili?
Bado hajawa serious kuwekeza ktk kununua wachezaji wa maana
Timu zetu zinasubiri wachezaji waliohuru washamaliza mikataba
Issue sio kuwa kamati ya usajali issue ni kutoa hela za usajili
Ligi ya losers ndio ilimfanya inonga alie kilio cha aibu.
Leo ni siku ya wanawake Duniani... Wanawake wakiwezeshwa wanaweza.... Leo ni siku ya Utopolo, na wanacheza Leo kwenye siku yaoLigi ya losers ndio ilimfanya inonga alie kilio cha aibu.
Tatizo ni wale wa 10%
Kwanini umtoe Chama?Zuwena fc mnawachezaji wenye quality ndogo mno.
Ukimtoa chama hakuna mchezaji wenu anaeweza ingia kwenye kikosi chakwanza cha Yanga.
Alipokuwa hayupo Simba ilikuwa inatembeza bakuli na walisajili mchezaji gani wa maana?Chini yake Simba imechukua ubingwa mara 4 mfululizo.Kuchukua ubingwa wa FA na kucheza makundi ya CAF miaka 4.
Simba kabla ya hapo ilikuwa na maendeleo gani?Wanaompinga ni waganga njaa waliokosa fursa ya kuifanya Simba mradi wao.
Wengine ni wapinzani wa Simba wasiopenda maendeleo ya Simba.
Atoe pesa kutoka wapi?Issue sio kuwa kamati ya usajali issue ni kutoa hela za usajili
Alipokuwa hayupo Simba ilikuwa inatembeza bakuli na walisajili mchezaji gani wa maana?Chini yake Simba imechukua ubingwa mara 4 mfululizo.Kuchukua ubingwa wa FA na kucheza makundi ya CAF miaka 4.
Simba kabla ya hapo ilikuwa na maendeleo gani?Wanaompinga ni waganga njaa waliokosa fursa ya kuifanya Simba mradi wao.
Wengine ni wapinzani wa Simba wasiopenda maendeleo ya Simba.
Akashindwa kucheza mpira ktk league ya wakubwa na kuangukia league ya losers.
Asa yeye anahusika nini?Kumbuka hapo Simba haikuwa na Muwekezaji.
Sasa Muwekezaji Amekuja Alafu anafunga unga.
Nani asiyejua Simba imeshindwa kusajili wachezaji wafuatao.
1.Lobi Manzoki
2. Semanga sonze.
3. Bambala.
4. Azizi ki.
5. Victoria Adebayor.
6. Oddu.
7.Aucho.
Nakadhalika.
Huyu ni tajiri au mbabaishaji????
Kila siku nasema Mayele anacheza mpira, hao kina baleke na phiri wanachezea mpira.
Wako wanavalishana sodoHahaaaa,huyo aliyeleta huu Uzi msamehe bure. Leo ni siku Yao Duniani.
Wachezaji wanaocheza CAFCL washindwe kupata namba kwenye kikosi kinachocheza kombe la losers ?Zuwena fc mnawachezaji wenye quality ndogo mno.
Ukimtoa chama hakuna mchezaji wenu anaeweza ingia kwenye kikosi chakwanza cha Yanga.
Rubbish!Leo ni siku ya wanawake Duniani... Wanawake wakiwezeshwa wanaweza.... Leo ni siku ya Utopolo, na wanacheza Leo kwenye siku yao