Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CrapRubbish!
Unakimbia ukweli wa mleta madaTimu yeye Wachezaji wakubwa inacheza Kombe la Shirikisho, halafu Timu ya Wachezaji mizigo ipo Kombe la CAFCL.
Hawa top top players walikuwa wapi wakati mnatolewa club bingwa?Ubahili wa Mwamedi Ndio chanzo Cha yote haya. Halafu MASHABIKI mbumbumbu wanamtupia KOCHA LAWAMA.
Simba Ina wachezaji WATANO TU. Inonga, Chama, Saido, Manula, Kapombe na Shabalala .
WACHEZAJI MIZIGO WENGI MNO.
Kanute, Banda, Ottara, Okwa, Onyango Umri, Sawadogo, Baleke.
WAZAWA.
Nyoni, Boko, KIBU, Kapama, Mkude, , Gadiel Michael, KYOMBO, nk....
Imagine una kiungo MZAMIRU na kanute, ucheze na Mamelodi!!!??
Viungo wasiojua position Yao.
Viungo wasiojua kupiga pass.
Viungo wasiopiga mashuti.
Wasioweza pass za mwisho nk.
Yanga Ina kiungo
BANGALA NA AUCHO top top top players.
Wachezaji WAKUBWA mno.
FISTON MAYERE MMOJA NI SAWA NA PHILI, BALEKE,BOKO ,KYOMBO, KIBU NK.
MO ANAIHUJUMU SANA SIMBA.
KOCHA ASIGUSWE KABISA
Hao ni hamnazo . Au hauamini kauli ya Manara?Hawa top top players walikuwa wapi wakati mnatolewa club bingwa?
Acheni wehu kaeni kwa kutulia kwa waume zenu
kwanini inakuuma sana ukiambiwa ukweli? timu ni ya hovyo kubalini hilo na mjipange,Sasa utaona kivumbi kule Morocco,kama 5 hazijaingia sijui!Halafu hao top players wanacheza losers league.Hii dunia ina maajabu.
Kwenye ligi ya Uingereza Man United walio kwenye form nzuri kapigwa 7 mtungi na Liverpool waliokuwa wana struggle.
Mpira ni sayansi sio somo rahisi kuelewa kama unaropoka tu kwa mapenzi.
kwa nini wewe usiwe na influence?But ana influence kubwa sana kwenye Usajili
Hatuangalii mechi moja, tunaangalia mechi zote 6 za makundi. Mwaka ule tulifungwa hizo tano tano mara mbili, lakini tukaingia robo fainali, na mmoja wa waliotupiga tano akaishia hapo hapo makundi nafasi ya tatu. Sasa sijui nani mjanjakwanini inakuuma sana ukiambiwa ukweli? timu ni ya hovyo kubalini hilo na mjipange,Sasa utaona kivumbi kule Morocco,kama 5 hazijaingia sijui!
Wakati huo Mayelee league ya losers anaitazama kwa TV.Ligi ya losers ndio ilimfanya inonga alie kilio cha aibu.
Umekuuma eeeh?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee shostHii hoja yako haina mashiko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa utajibu nn wakati ukweli unaujua. PoleeeehLIGI haiamui Ubora wa mchezaji.
Siwezi hata KUKUJIBU.
Umekaa ki shabiki zaidi kuliko utaalam, fact, na kujifunza.
Endelea na USHABIKI wako
Wakashindwa kwa Al hilal na kuangukia kombe LA losers.Mayele ni Top Quality.
Yanga wapo serios na kazi.
Yanga Wana Quality.
Juma, lomalisa, Aucho, Bangala, Azizi.
Hawa ni wachezaji WAKUBWA sana