JBinafsi napenda simba iuzwe,huu mfumo wa timu kuwa ya wanachama unadumaza maendeleo ya soka tz haufai kabisa..simba na yanga waking"ang"ania huu mtindo watasherekea miaka mia wakiwa hawana hata uwanja wa mazoezi...tukiachana na hayo sasa hivi simba imeshika mwelekeo wa kuwa timu ndogo kama ilivyo liverpool uingeleza ,simba haimo kwenye ushindani wa ubingwa na haitotokea hata siku moja,mimi kama shabiki wa yanga siihofii simba hata chembe na uzingatie timu zenye pesa zinaongezeka wachangamkie hiyo opportunity....najua simba ikiuzwa na mashabiki wa yanga watapata akili ,nao watamkabizi manji timu yao