ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Ahami kokote tena amejizidishia umaarufu!Dah,lazima atahama Tanzania Huyu.
Hahahaha poverty mind walahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahami kokote tena amejizidishia umaarufu!Dah,lazima atahama Tanzania Huyu.
Huu ni utani mkuuNa gari lilitumika kumtekea, limepatikana likiwa limebadilishwa namba...Mambosasa ndio ametoa habari hiyoView attachment 904288View attachment 904298
Yeah , ndiyo maana nikasema iwapo yeye mwenyewe hatasema, basi na iwe kimya
Nimemjibu msemajiukweli kwani sasa hivi watu wanataka kuaminisha maneno mengine kama wao ndio Mo. Kuna hadithi zinatungwa, hizo hazitaondoa utata hadi atakaposema mwenyewe
Jambo jema karudi salama, hilo ndilo muhimu
Muumba wako akusamehe na akuondolee huo ugonjwaHongera sana Jeshi la polisi huu ni ushahidi mwingine wa weledi wenu wa hali ya juu
Kwa hiyo hoja yako ni nini?Acha uongo, waliomchukuwa wanafahamika. Yaleyale ya Roma. Mbona baada ya Polisi kumhoji Roma faili likafungwa badala ya jushika kasi ili kukomesha hayo yasiendelee?
Yule ilikuwa atapatikana jumapili na akapatikana. Huyu tunajuwa alichukuliwa na gari Hilux picha hizi walifika mpaka Kawe, kesho yake huyo!
Siro anajua/alijua alipo Mo, by ZitoHata kama Mo amepatikana bado kama wananchi tunahitaji taarifa kamili kuhuhsu huu uhunu unaoendelea NCHI hii.IGP anapaswa kutueleza ukweli.
Kwel kabsa yanNdo mida ya kuachiwa check hata Roma aiachiwa SAA ngapi
Inashangaza sana anayejitapa mwerevu kuhangaika na wajinga, huo si ni ujinga zaidi?Tafuta wenye fikra kiduchu kama zako ili muweze kubadilishana ujinga!
Huwezi kunikwaza mimi, unajikwaza mwenyewe na ujinga wakoSamahani kama nimekukwaza lakini ni vizuri ukaelewa kuwa uwezo wako ni mdogo sana katika kujenga hoja na kuchanganua masuala yanayohitaji fikra pana.
Sky hebu ulizia kama na Mo alijipulizia pafyum km yule Nondo wa Udsm?Tena saa tisa alfajiri, magazeti yameshachapisha habari za leo
Bahkresa jiandae
Ukiona tukio kubwa la kijinai limetokea na ndani ya siku mbili hajakamatwa mtu basi wewe endelea kufanya shughuli zako mkuu.Aisee....acha niendelee kulima tu,hii ndo Tanzania