Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu. Ni kipi wewe ulichofanya kikasaidia Mo kupatikana. Kama Lema amekuwa na ujasiri wa kujitokeza hadharani na kulipigia kelele hili swala mpaka akapatikana, Kwanini Lema Asipongezwe??? Kwenye suala la uhai wa mtanzania mwenzako hakuna uhusiano wa karibu wala wa mbali wala wa katikati.Yaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!
Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?
Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA
Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!
Mnara wa babeli lugha gongana!Anaweza akawa anamanisha nn ?
Well said walahiYaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!
Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?
Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA
Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!
Huwa hawana aibu hawa.Watu wazima wameaibikaaaa
Kutekwa siyo mchezo!Mi ningemuona nisingemjua kwa namna alivyobadilika...
Hivi umesoma ulichokiandika?Kama kuna Ransom ilitokewa kuna haja gani ya kusifiana ilhaili watekaji wacko huru wanagida vinnywaji
HUWEZI KUWA MWANAUME ULIEKAMILIKA HALAFU UJE NA HUU USHUZI INAWEZEKANA ULIKAA SANA MOMBASA NA NINAKUOMBA URUDI MOMBASA WAKAENDELEE KUKUTEKABila ya Wapinzani kupaza Sauti Mbowe na Mayor Jacob nao wangekuwa washatekwa Na Viongozi wenzao wa Chadema
Yani kama yesu alivyoagiza ukipigwa hili Mpe na lingine kuna MTU ukimsifia anahisi yupo mbinguni.. Kama Greek mythology kuwa miungu ukiisifia ndo inapata nguvuHahahaha, anamshukuru Rais kwa lipi? Maana wakati Sirro anatoa taarifa ikulu walikuwa wanahost taifa stars..., kuna hidden message hapo, lazima kuna sababu ya kumshukuru