Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mo kapatikana kwa shinikizo la public cry, upinzani hawana mchango kabisa katika hili.
 
Acha wivu. Ni kipi wewe ulichofanya kikasaidia Mo kupatikana. Kama Lema amekuwa na ujasiri wa kujitokeza hadharani na kulipigia kelele hili swala mpaka akapatikana, Kwanini Lema Asipongezwe??? Kwenye suala la uhai wa mtanzania mwenzako hakuna uhusiano wa karibu wala wa mbali wala wa katikati.

Li chadrama ni lichama la kukurupuka la matukio, aibu kubwa kwake walahi
Sasa aende akabwabwaje tena, TOTAL SHAME ON YOU PEOPLE WALAHI
MAMA TANZANIA ATAWANYOSHA TU WALAHI
 
Alikuwa kwenye vile vyumba vya Makumbusho hovyo sana watu hawa.
 
Hizi ni mbinu za jamhuri ya watu wahuni kutaka kulipwa mabilioni ya pesa ili wakaongeze bajeti yao isiyotekelezeka kila mwaka
 
Wangekuja wachunguzi wa nje sidhani kama hakuna ambaye asingeliziona "NYETI ZA KUKU" kwa mpepeo wa kijiupepo kile...
 
Nakupongeza sana IGP wetu![emoji116][emoji122][emoji122][emoji122]
Dpmw-LYXUAAsrws.jpeg
 
Li chadrama ni lichama la kukurupuka la matukio, aibu kubwa kwake walahi
Sasa aende akabwabwaje tena, TOTAL SHAME ON YOU PEOPLE WALAHI
MAMA TANZANIA ATAWANYOSHA TU WALAHI
Historia imeandikwa Tz kutoa rais .......
 
Dah.. Aisee yani wewe kila kitu ni kufagilia upinzani! Unatia kinyaa..

Kama unafikiri selikali ndio inahusika na imewaogopa hao wapinzani, mbona Ben bado hajarudi na kila siku mnapiga makelele?
HATA SISI TUNASHANGAA KWANINI BEN SAA 8 MLIMCHUKUWA MAZIMA
 
Tangu kutekwa kwa Mo Dewji, ni wapinzani kwa kushirikiana na watanzania wengine ndio waliokuwa wamesimama mstari wa mbele kupaza sauti kutaka MO apatikane huku watu wa upande fulani karibu wote wakiwa kimya zaidi ya ku-tweeet tu kusikitishwa na tukio hilo.

Mnaoshabikia upinzani ufe tukio hili liwafumbue macho na mjiulize ingekuwaje kama wote tungekuwa wa chama kimoja kama mnavyotaka.

Waliobuni mfumo wa vyama vingi hawakuwa wajinga hivyo na nyinyi mnaotaka turudi katika huo mfumo muache kuwa wajinga.
Vipi MV Nyerere na wahanga wake, mchango wenu ulikuwa ni upi? Walipoteza maisha watu zaidi ya 150.
 
Zuzu ni mtu kama wewe unayelazimisha kusema katekwa na serikali wakati yeye anaishukuru! Tena zuzu kweli kweli! Wako walicharangwa na risasi mwili mzima na bado hawakuogopa sembuse yeye?
tundulisu kasema NISSAN NYEUPE no. ###'x mbona mpakaleo mmelala kwa Mo mmejua mpaka wazungu wanaongea kisouzi
 
Ni upepo na pia aliyetekwa ni tofauti kabisa na kina ben saanane. No offense to them, na wao ni binadamu ila tuwe wakweli, Mo ni ligi nyingine. Mtekaji lazima uwe na hofu maana nchi nzima ilisimama na dunia pia ilimulika.
Nawe mwombe mungu wako akupe pesa sio kukaa mitandaoni na kuitukana nchi yako walahi
 
Back
Top Bottom