Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Li chadrama ni lichama la kukurupuka la matukio, aibu kubwa kwake walahi
Sasa aende akabwabwaje tena, TOTAL SHAME ON YOU PEOPLE WALAHI
MAMA TANZANIA ATAWANYOSHA TU WALAHI
AIBU upande wenu huko kwa kuufyata kama vile mmemwagiwa maji baridi. Hakuna aliyekuwa na balls za kuzungumza ili Mo apatikane. Mmepiga kimya kikuu kama wafiwa. POLENI SANA! Igeni mfano wa Mhe. Lema. Acheni Uzwazwa!
 
Binafsi naunga mkono hoja yako mkuu pascal but bado sijajua kuwa ni alimuona MO WA Kwanza na kutoa taarifa au ni jeshi lenyewe ni ndio lilimkuta eneo hilo???
Taarifa ya kupatikana kwa MO ni nzuri sana Kwani kidogo kidogo matumaini yalianza kuondoka.
All in all jeshi la police linahitaji pongezi kubwa sana maana toka press conference ya jana saa 4 asubuhi na Ndani ya saa 24 amepatikana. Suala la kupongeza sana
 
Familia wanaongelea kuhusu kupatikana kwa Mo wakati wa Tz wanataka kujua who is behind? ni wakati muafaka pande zote zinazohusika watoe tamko linaloeleweka ili liweze kusaidia jamii ktk siku za mbeleni kwani issue sio kupatikana tu, ni muhimu maswali yote tatanishi yapatiwe majibu yasiyokuwa na shaka na mwisho wa siku wahusika watoke kifua mbele, Hapana shaka kuwa Mo karudi na serious Psychosocial Trauma hivyo tunategemea atatibiwa na familia ina wajibu wa kutupa feedback baada ya uchunguzi wa Drs
 
Serikali yao ndio ilikuwa inamtafuta..wao ndio walikuwa wakifanya mazungumzo na familia ya mo mara kwa mara..ulitaka nao walalamike kama wafanyavyo majirani?? Si mngewacheka
Una maana serikali ikishasema CCM ndiyo imesema, ndiyo maana tunasema CCM ilishakufa siku hizi kila kitu kinafanywa na serikali.
 
Hii video inazungumza kila kitu.Wenye akili tumeelewa.Kuanzia sauti ya Mambosasa hadi sura ya Mo!The message is there.
Nawahurumia askari wetu wana pressure kubwa sana awamu hii.
Pole sana kamanda Mambosasa.Sura na sauti yako vinazungumza hapo.Pole baba.Ukitoka hapo piga zako laga mbili tatu ulale.Wananchi tumeona.Umetuonyesha Mo wetu.Nawe pia wakwetu.Sura yako hapo imeonyesha.Mie sitakulaumu.Niseme tu thank you Kamanda.
 
Daah... Nyie binadamu ni balaa tupu! Alipopotea mkailaumu serikali, kapatikana bado mnailaumu serikali. Naamini hata asingetekwa mgeilaumu serikali.

Namnukuu Matola

"Ina maana wewe hujui mtekaji ni nani? Pole
sana.
Hivi kwa akili yako baada ya IGP kutoa picha ya
Toyota surf unaweza kusubutu kwenda na
Toyota surf karibu na ikulu?
Mo ametekwa prime area na amerudishwa
prime area, hata kama wewe ni mfia chama
jaribu kuvaa ubinadamu ingawa maccm yote ni
bora hata ukutane na chui aliyeshiba."
 
Chadema wamechukizwa mno na kupatikana kwa Mo maana kiki yao imebuna.

Shida na Matatizo yanayoipata Tanzania ndiyo ufahari wa Chadema!

FACTS
HAWAJUI KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI WALAHI
MWENYE ENZI MUNGU KAWAFUMBA MACHO NA MASIKIO NA KAWABAKISHIA MIDOMO YA KUTOLEA KINYESI WALAHI
 
Gymkana pale karibu na Ikulu, Gymkana karibu na Agakhan hospital. Gymkana pale karibu na Upanga Seaview. Kiujumla eneo lile ni very sensitive sana kwa mtu kufanya Ujinga. Yaani watekaji wanamteka mtu Oysterbay/Masaki wanatembea nae msasani yote, mpaka kawe na leo wanamrudisha mpaka Gymkana..

Halafu Mkuu mmoja anasema nchi iko salama, vipi kule Tandika, Mbagala, Manzese, Mtoni, Mbezi, Mbalizi, Tunduma, kyerwa, Tukuyu watakuwa salama kweli kama mtu anatekwa sensitive area halafu watekaje wanamrudisha sensitive area..Kichwa kinauma kwakweli.
 
Wanabodi,
Hii ni thread ya swali, nikipendekeza kwa kuuliza, maana siku hizi, ukiuliza kitu,, watu hawaonagi alama za kuuliza, wakadhani nimetoa statement.

Baada ya Mo kupatikana, baada ya juhudi kubwa sana za jeshi letu la polisi, baada ya ile ahadi ya motivation iliyopelekea hadi IGP kufanya press conference ya jana, hii imethibitisha kuwa kumbe Jeshi letu la polisi, likiamua linaweza, wala simaanishi limeweza kwa ajili ya Ile ahadi ya motivation ya familia, bali limeweza kwa sababu, sasa ndio limepata uwezo huo, na limeonyasha uwezo huo kwa Mo kupatikana akiwa mzima, salama uu salmini na bukheri wa Afya.

Sasa kwa vile familia tayari iliishatenga shilingi billion moja kwa atayefanikisha kupatikana kwa Mo, na waliofanikisha ni IGP Kamanda Sirro, na vijana wake, kwa ile Press Conference muhimu ya jana. Mimi Napendekeza hizo pesa apewe Kamanda Sirro na vijana wake, ili zitumike kuboresha jeshi letu la polisi nchini kwa kulijengea uwezo kuzuia matukio ya utekaji, kwa kuwa motivate, siku zote, mtu yoyote akitekwa au kushambuliwa na wasiojulikana, juhudi kama hizi za kumsaka MO, ikiwemo kuitisha press conference, zifanyike. Tena laiti kama tungelijua kabla namna ya kuwa motivate polisi wetu watimize wajibu wao, usikute hata Ben Saanane alipotoweka, tungejichanga tukatangaza dau, angepatikana,
Aliposhambuliwa Lissu, tungejichanga tukatangaza dau, wasiojulikana wale, wangepatikana, na alipopotea Azori Gwanda, sisi media tungejichanga tukatangaza dau, angepatikana, huwezi jua!, Bilioni moja jameni sii mchezo!.

Zamani tulizoea ahadi za motivation ni kwenye kutafutia kura tuu, lakini sasa, hata katika kutimiza wajibu.

Mungu Mkubwa, Pesa ndio kila kitu!, Masikini Ben Saanane, masikini Azori Gwanda
Jumamosi Njema
P.
Mkuu Paschal,naanza na samahani!
Hivi siku hizi unakula "maharage" ya wapi?
Yaani hela wapewe waliozembea hadi kachukuliwa,kafichwa,karudishwa hadi viwanja vya wazi bila wao kung"amua na kisha wanamfuata kwake kupiga naye picha???!!!! Je,matukio ya zamani ambayo hawajayapaia ufumbuzi wapewe nini?
I WILL BE the last person to believe them.
 
Una maana serikali ikishasema CCM ndiyo imesema, ndiyo maana tunasema CCM ilishakufa siku hizi kila kitu kinafanywa na serikali.
Serikali inasimamia sera ya ccm..kwa hiyo serikali ni muajiriwa wa ccm..
 
Hii video inazungumza kila kitu.Wenye akili tumeelewa.Kuanzia sauti ya Mambosasa hadi sura ya Mo!The message is there.
Nawahurumia askari wetu wana pressure kubwa sana awamu hii.
Pole sana kamanda Mambosasa.Sura na sauti yako vinazungumza hapo.Pole baba.Ukitoka hapo piga zako laga mbili tatu ulale.Wananchi tumeona.Umetuonyesha Mo wetu.Nawe pia wakwetu.Sura yako hapo imeonyesha.Mie sitakulaumu.Niseme tu thank you Kamanda.
Mkuu kweli wewe UNA AKILI kama unavyojitanabaisha.
 
Hebu subir hapo hapo alipiga simu! Kwa hiyo walimpa na simu apige au alipata simu kwa msamaria mwema? Sasa huyo aliyempa simu ndo ana claim hiyo Billion au? Pia hilo gari lilimtokea walisema lishavuka mpaka! Tena leo tunaliona! Hawa wanatuona mazwazwa kabisa, haya tuleteeni hiyo cctv shootage maana jana mzee wa sisitiv alijaribu kuficha pic la gari lkn bado watu wakamzidi akili! Na ndo maana hawakusema rangi ya gari wala habari ya noah hawataki tusikie!

All in all nina furaha tajir karudi sasa kifuatacho ni kuwa zakaria tuu maana washa turuhusu kumiliki silaha.
Hivi Ni wapi walisema limeshaavuka mpaka na halipo nchini
 
Back
Top Bottom