Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Watekaji watakuwa ni makaburu wanataka kumdhoofisha tajiri wa Africa!
Watekaji ni maharamia wa hapahapa kwetu. Mengine ni mbinu za kutaka watz tuamini kuwa wasiojulikana sio watz, na labda ndio maana tunaogopa uchunguzi wa nje kutuumbua. Watu wanatekwa na kuuwawa wakati wa uchaguzi, waandishi wa habari na wanaharakati pia. Ukiwa mkweli au mwenye mtazamo tofauti uko katika hatari ya kutekwa na kushambuliwa na vitisho vya kuwadhuru hata watu wa ukoo(mashangazi). Hizi ni mbinu zinatumiwa na tawala dhalimu kote duniani. Awamu hii ambayo ndio kwanza yakaribia kutimiza miaka mitatu, ndio inaongoza kwa matukio mengi zaidi tangu tupate Uhuru. Tatizo hili li 'nguoni' mwetu. Amen
 
wapewe watekaji tena! umenena!
 
KWA HIYO UPINZANI NI PRIVATE? THIS IS THE SO CALLED SHEER MENTAL DIARRHOEA
Hii ni hatari. Kwa hiyo wewe nikisema public kwako maana yake ni opposition? Hapa napo kwa akili zako hizi utailaumu ccm?
 
Pongezi ni kwa jeshi la police Kwani kelele zake zimesaidia nini??Waliotekwa wote hakupiga kelele????? Na mbona bado hawajapatikana???? Nalipongeza kwa sababu MO amepatikana na binafsi niipongeze family ya MO kwa kutoa taarifa mapema Sana baada ya kijana wao kutekwa, yawezekana pia na hao wengine Kama taarifa zingetolewa mapema kungekuwa na nafasi kubwa ya kupatikana.mbinu ni hizi hizi kwanza zuia mipaka na Fanya upekuzi wa vyombo vyote vya usafiri majini na nchi kavu.
 
Aliwezaje kuwasiliana nao kama walikua wanaongea hizo lugha za kibantu? [emoji848][emoji848]
 
Hyo hela wabaki nayo wanafamilia iwasaidie kwenda zao huko nchi za mbali wakaanze maisha mapya hii nchi haikaliki
 
FACTS
HAWAJUI KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI WALAHI
MWENYE ENZI MUNGU KAWAFUMBA MACHO NA MASIKIO NA KAWABAKISHIA MIDOMO YA KUTOLEA KINYESI WALAHI
Wacha bhana! Mungu amefungua masiko Na macho nyie wanalumumba tu?

Vilaza hamuishi
 
Ameona tz itawaka moto ,kaamuru watu wasiojulikana wamurudise salami salimini, lakini namushauri hivyo hivyo ahame tz kabisa

Inaonekana unaandika usichokijua..umejaa hisia baadala ya uhalisia
 
Gari iliyokuwa inatafutwa Tanzania nzima, ndio gari hiyo hiyo iliyomtupa Gym Khana😯..., sijui walijuaje kuwa gari iliyomtupa Gym Khana ndio gari ile ile iliyomteka mtekwaji?
Gari sio yenyewe mkuu angalia picha vizuri zile za mwanzo na za sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…